Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Mbona Vitu vinakwama kila siku viniumize roho?😂😂🤣🤣Kwa vile za umeme zinakuumiza Sana roho yako😂😂😂😂😂
Mbona Vitu vinakwama kila siku viniumize roho?😂😂🤣🤣Kwa vile za umeme zinakuumiza Sana roho yako😂😂😂😂😂
Kama unaamini hivyo endelea tu kuamini hakuna anayekukataza😎70% of Dar is Slum. You should know that😂
Lete evidence kuna slum in Dar nitoke JF sasa hivi 😁70% of Dar is Slum. You should know that😂
Hao mazwazwa kama wanaamini nchi yao haiwezi kuongozwa na mtu nje ya kikuyu na kalenjini,unategemea nnKama unaamini hivyo endelea tu kuamini hakuna anayekukataza😎
So FIFA ranking ni historia? Thanks for confirming to us that you are at position 113 in the world and that tupo mbele yenuNilikueleza,tizama hapo TZ inaonesha kuongeza point za Fifa kila mara ila wewe hauna point zinazoongezeka.
Wewe kaa na endelea kuendekeza HISTORIA.View attachment 3068184
Halafu wanataka kufananisha hii airport na Mombasa.
View: https://youtube.com/shorts/tRg6556tA2s?si=3KuBStLZUYsRaHhP
Vinakwama alikwambia Nani Sijaona taarifa yoyote so far yakukwama kwa treni Jana wala juzi haya hebu tuambie hio taarifa anakwambia Nani Maria sarungi 🤣🤣🤣🤣Mbona Vitu vinakwama kila siku viniumize roho?😂😂🤣🤣
Jamani huyo ni kichaa. MVinakwama alikwambia Nani Sijaona taarifa yoyote so far yakukwama kwa treni Jana wala juzi haya hebu tuambie hio taarifa anakwambia Nani Maria sarungi 🤣🤣🤣🤣
You sure kijana?Only benchwarmers and rejects want to play in Tanzania.
😂😂😂😂😂😭😭🍆🍆🍑🍑Kuku wewe ungekuwa karibu ningekupiga konzi.Nini inaonyesha ako bora when he doesn’t have any trophy to show😂😂🤣
Kalieni HISTORIA bado gap la nafasi 6 mwaka jana mlituzidi nafasi 11 katikati sasa zimebaki nafasi 6,na huo mshale wa kijana unaonesha progression ya Tanzania ilhali ninyi hamkusanyi point yeyote.Kenya is still ahead of Tanzania in FiFA ranking😂😂🤣
Ethiopia ni taifa linaloongoza kuwa na wakimbizi baada ya Somalia hapa East Africa,hata bajeti yao ni takriban 70% wanachangiwa na WB/IMF.Then why do they have a bigger GDP thrice that of Tanzania?😂😂🤣🤣.
Tanzania is among the poorest and backward countries in the world yet you are opening that hou stinking mouth talkinb about Ethiopia😂😂
Mzee Ethiopia kuna vita na wana raia mara mbili ya Tanzania unatarajia Kwanini wasisepe nchi yao. Tulikafanya comparison ya Nchi kwa Nchi vumbistan ni taifa dogo kwa Ethiopia.Ethiopia ni taifa linaloongoza kuwa na wakimbizi baada ya Somalia hapa East Africa,hata bajeti yao ni takriban 70% wanachangiwa na WB/IMF.
Ethiopia kuna njaa kali kuliko Somalia.
Kila mwaka wanakamatwa hapo mpakani wakiingia TZ ndani ya malori kama magunia ya mpunga walivyoswekwa.
Mji pekee uliojengeka Ethiopia ni ADDIS peke yake.
Hawana mji mwingine mzuri hao.
Hata wana uchumi wanasema GDP sio kigezo sahihi cha kupima uchumi.
Viongozi wao walikuja hapa mfululizo kuanzia 2022 hadi mwaka huu walikuja hapa wakisema wanataka kujifunza namna ya uongozi bora maana Tanzania ni sleeping giant ila WATU wanaishi vizuri.