Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Niliwaambia wameuziwa mitumba na hawaskii. Within one month the train has already stalled 5 times😂😂🤣👇👇

1723483700183.jpeg
 
SGR imekwama tena😂🤣🤣

NairobiWalker hii ndio mkebe walitaka kulinganisha na Kenyan SGR😂😂🤣🤣👇👇👇


View: https://x.com/MariaSTsehai/status/1823033809685955045

Nimeangalia hizo reply kwa hiyo tweet Nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lakini situlisema hapa, Dar es Salaam nzima inasonga kwa jenereta, hivi burret Traini itasonga kwa jenereta!?

Nakumbuka CCM wakuambia watanzania eti..

"Yaani dude hili mnaviioliona ni next gen, latumia umeme, ila kwa uzuri, lina wakazi hifadhi moto wakulipeleka kwa saa nzima, tena lina uwezo wa kuswitch likatumia diesel ikibidi..."

Sasa ona.
Screenshot_2024-08-12-20-44-52-00_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
Screenshot_2024-08-12-20-43-58-86_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
Screenshot_2024-08-12-20-43-15-51_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
Zile mali kobe zao sasa
Nimeangalia hizo reply kwa hiyo tweet Nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lakini situlisema hapa, Dar es Salaam nzima inasonga kwa jenereta, hivi burret Traini itasonga kwa jenereta!?

Nakumbuka CCM wakuambia watanzania eti..

"Yaani dude hili mnaviioliona ni next gen, latumia umeme, ila kwa uzuri, lina wakazi hifadhi moto wakulipeleka kwa saa nzima, tena lina uwezo wa kuswitch likatumia diesel ikibidi..."

Sasa ona.
View attachment 3068108View attachment 3068109View attachment 3068111

Ushamba mzigo kweli... Tatizo hapo sio treni ni za mtumba... Ila njia ya treni ndio ina changamoto.

Kipande cha kuanzia Morogoro to Makutopora kuna shida kwenye signalling systems. Inakitajika kuongeza substations ili ku maintain standardised power and signal.
Mjiulize kama treni ndio mbovu mbona hazikwami kwenye njia ya DSM to Moro? Inakwama tu kutoka Moro to Dom.. Soon mambo yatakuwa fixed
 
Nimeangalia hizo reply kwa hiyo tweet Nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lakini situlisema hapa, Dar es Salaam nzima inasonga kwa jenereta, hivi burret Traini itasonga kwa jenereta!?

Nakumbuka CCM wakuambia watanzania eti..

"Yaani dude hili mnaviioliona ni next gen, latumia umeme, ila kwa uzuri, lina wakazi hifadhi moto wakulipeleka kwa saa nzima, tena lina uwezo wa kuswitch likatumia diesel ikibidi..."

Sasa ona.
View attachment 3068108View attachment 3068109View attachment 3068111
I have read the comments. Real Thinking Tanzanias would prefer a diesel electric train 🚃 that will never go off like the Kenyan SGR
 
Kwani siku hizi kuna Kumbe la kufika robo finali?😂😂🤣
Ona huyu kuku sijui anazungumza nini!
Au huelewi kusoma!?
Nachomaanisha yule aliyefika robo fainali kombe la Uefa champions league ni bora kuliko aliyefika fainali na kubeba kombe la Conference league.
Kwasababu level tofauti,hapo nadhani itakua umeelewa.
 
Back
Top Bottom