The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Wewe upo Kenya tangu kuzaliwa na haujawahi kutoka hapo hata kwa bahati mbaya, na upo hivi 👇👇Unasahau jamaa amekuwa Tanzania since 2019?😂😂🤣 Hiyo Kuparara unaona ni mateso ya Tanzania🤣🤣😂😂🤣
Inakuwaje Abuya abadilike ndani ya muda mchache? Nimekuambia atabadirika tu, kwenu maisha ni magumu sanaa, nmekuambia mwache jamaa ale mema ya nchi na atabadirika kama wenzake.