Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatizo lako wewe hunaga akili hata moja, wivu wa kimaendeleo umekushika mpaka unakuwa mpuuzi, huo ni mji mpya nyumba nyingi hapo hazina hata 4 years, usifananishe na mji mkongwe na wakizamani kama Karen, alafu nmekusikia ukisema hakuna lami, haya ni mata.ko yako haya 👇👇View attachment 3063551
Haya basi, Karen ni mtaa wa Kikongwe hapo una excuse, vipi Kahawa Sukari ambao umejengwa in the past 15 years? Vipi Runda ambao umeanza kujengwa the last 50 years na 90% ya majengo yako less than 10 years old? Mbona mitaa ya Kenya ya kifahari mipya kuliko hiyo Mbezi ina lami? Vipi Syokimau mtaa wa less than 15 years una lami?

Hii hapa Runda. Sehemu kongwe ya Runda ni ile iloyoko karibu na UNEP na ilijengewa wafanyikazi wa UNEP miaka ya 70s. Hizi sehemu zingine ni mpya sana 90% zimejengwa kwa miak 15 iliyopita na nyingi bado zina mashamba ya kahawa yet lami ipo 100%. Sehemu ikijengwa nyumba mpya huohuo mwaka inapigwa lami.


View: https://youtu.be/BLcBtJ1Hmas

Hii hapa Kahawa Sukari. Huu mtaa una chini ya miaka 20 tangu uanze kujengwa, lami 100%. Wacheni excuses. 🤣 🤣
screenshot-2024-08-07-083130-png.3063440
 
Haya basi, Karen ni mtaa wa Kikongwe hapo una excuse, vipi Kahawa Sukari ambao umejengwa in the past 15 years? Vipi Runda ambao umeanza kujengwa the last 50 years na 90% ya majengo yako less than 10 years old? Mbona mitaa ya Kenya ya kifahari mipya kuliko hiyo Mbezi ina lami? Vipi Syokimau mtaa wa less than 15 years una lami?

Hii hapa Runda. Sehemu kongwe ya Runda ni ile iloyoko karibu na UNEP na ilijengewa wafanyikazi wa UNEP miaka ya 70s. Hizi sehemu zingine ni mpya sana 90% zimejengwa kwa miak 15 iliyopita na nyingi bado zina mashamba ya kahawa yet lami ipo 100%. Sehemu ikijengwa nyumba mpya huohuo mwaka inapigwa lami.


View: https://youtu.be/BLcBtJ1Hmas

Hii hapa Kahawa Sukari. Huu mtaa una chini ya miaka 20 tangu uanze kujengwa, lami 100%. Wacheni excuses. 🤣 🤣
screenshot-2024-08-07-083130-png.3063440

Lami anaitafuta kwa microscope kwa mtaa wao wa kifahari. Meanwhile Umoja ambayo wanaita slum lami ni 80%. 🤣 🤣 🤣
 
...hadi nchi zingine kama Bangladesh na Venezuela na Nigeria na Uganda zikafuata mkondo....
Hao Bangladesh, Venezuela na Nigeria walishafanya maandamano makubwa kitambo kabla ya nyang'au hajaamka. Acha kujifanya mjuaji eti hadi nchi zingine zikafuata mkondo. Ulikuwa wapi wakati wa maandamano ya 'End SARS' mwaka 2020 kwa mfano?😎😎
 
Post picha mzee wacha maneno mengi 😂😂😂
Nishawai post humu picha yangu nikiwa China. Wenye waliiona waliiona. Ukitaka nyengine nitapost tu kwani Iko Nini. Huyu hapa Mimi nikizuru mbuga za wanyama za Tsavo na Amboseli. Hiyo Camera uionayo inaitwa Sony A71V. Lens yake ni
Sony FE 24-105mm f/4 G OSS. Bei yake imeshinda mshahara wako wa mwaka mmoja and that is kama una mshahara at all sababu numemsikia Teargas mara nyingi akisema unamtegemea demu Fulani hapo Tandale. Hiyo camera nikiinunua ilikuwa shilingi 400k za Kenya, sijui sahii imefika ngapi. Lens niliinunua na 200k za Kenya. Unaweza ukaangilia Bei zake mtandaoni kwa Sasa. Wewe endelea kukaa hapo Tandale ukijilinganisha na watu ambayo lunch yao itakulisha mwezi mzima.

1000161877.jpg
 
Nishawai post humu picha yangu nikiwa China. Wenye waliiona waliiona. Ukitaka nyengine nitapost tu kwani Iko Nini. Huyu hapa Mimi nikizuru mbuga za wanyama za Tsavo na Amboseli. Hiyo Camera uionayo inaitwa Sony A71V. Lens yake ni
Sony FE 24-105mm f/4 G OSS. Bei yake imeshinda mshahara wako wa mwaka mmoja and that is kama una mshahara at all sababu numemsikia Teargas mara nyingi akisema unamtegemea demu Fulani hapo Tandale. Hiyo camera nikiinunua ilikuwa shilingi 400k za Kenya, sijui sahii imefika ngapi. Lens niliinunua na 200k za Kenya. Unaweza ukaangilia Bei zake mtandaoni kwa Sasa. Wewe endelea kukaa hapo Tandale ukijilinganisha na watu ambayo lunch yao itakulisha mwezi mzima.

View attachment 3063596
Looking good bro. Yule picha anaweza kupostia ni akiwa mwanza amechapa kuchapa. Which Camera did you use to take the photo?
 
Looking good bro. Yule picha anaweza kupostia ni akiwa mwanza amechapa kuchapa. Which Camera did you use to take the photo?
I actually have two cameras and a very good phone camera. My phone is a Google Pixel 7 Pro. Google Pixel have the best Cameras in the phone industry. I also have a DJI Pocket 3 Creator Combo which I occasionally use in while driving due to its good portability. Here is the camera when I was buying it.

PXL_20240524_160638090.jpg
 
Back
Top Bottom