Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,759
Sasa kama wewe ni huyu then what makes you think you are any better than I.? 😂😂😂Nishawai post humu picha yangu nikiwa China. Wenye waliiona waliiona. Ukitaka nyengine nitapost tu kwani Iko Nini. Huyu hapa Mimi nikizuru mbuga za wanyama za Tsavo na Amboseli. Hiyo Camera uionayo inaitwa Sony A71V. Lens yake ni
Sony FE 24-105mm f/4 G OSS. Bei yake imeshinda mshahara wako wa mwaka mmoja and that is kama una mshahara at all sababu numemsikia Teargas mara nyingi akisema unamtegemea demu Fulani hapo Tandale. Hiyo camera nikiinunua ilikuwa shilingi 400k za Kenya, sijui sahii imefika ngapi. Lens niliinunua na 200k za Kenya. Unaweza ukaangilia Bei zake mtandaoni kwa Sasa. Wewe endelea kukaa hapo Tandale ukijilinganisha na watu ambayo lunch yao itakulisha mwezi mzima.
View attachment 3063596
Yani una brag bei ya camera.? 😂😂😂😂😂. Aisee.Nishawai post humu picha yangu nikiwa China. Wenye waliiona waliiona. Ukitaka nyengine nitapost tu kwani Iko Nini. Huyu hapa Mimi nikizuru mbuga za wanyama za Tsavo na Amboseli. Hiyo Camera uionayo inaitwa Sony A71V. Lens yake ni
Sony FE 24-105mm f/4 G OSS. Bei yake imeshinda mshahara wako wa mwaka mmoja and that is kama una mshahara at all sababu numemsikia Teargas mara nyingi akisema unamtegemea demu Fulani hapo Tandale. Hiyo camera nikiinunua ilikuwa shilingi 400k za Kenya, sijui sahii imefika ngapi. Lens niliinunua na 200k za Kenya. Unaweza ukaangilia Bei zake mtandaoni kwa Sasa. Wewe endelea kukaa hapo Tandale ukijilinganisha na watu ambayo lunch yao itakulisha mwezi mzima.
View attachment 3063596
Uganda.Ukiwa wewe ni mkweli na una akili timamu, niambie kati ya hizo nchi ulizotaja ni nchi ipi Kenyan hutembelea zaidi, kwa kusoma, tourism or pleasure.? Ongea tu ukweli.
Kwani nani hakujui? Unalishwa na msichana wa watu, huna kitanda, unakula kwa vibanda. Na ukikula smocha unapost huku? Wewe nani hakujui? Mapua yako ni kubwa, midomo ni pana na kubwa pia, maskio kubwa. Hivi nani hakujui hapa JF?😂😂😂😂 kwahiyo unanijua kumbe.? 😂😂😂😂. Dah.!!
Kila kona watu wanaiongelea Tanzania. Firstpost from India wameupiga mwing
View: https://youtu.be/vwy9QvLtwyM?si=J12sDD_2CzMlPl-H
Mbona watanzania ni wajinga hivi? Hii mambo ya incase of emergency planes land in nearby airports Kwani nyinyi hamuelewi?Kwanini all A380 huwa diverted to JNIA na sio JKIA?
So hapo umeona inatumia two locomotives? Usilazimishe vitu ambavyo havipo. Hapo ni packing and Marshalling. Do you know how tren exchange locomotives?Thanks for this post. When I told you that your trains are using two heads to pull the coaches mliniita wazimu. It’s good you are now exposing yourselves😂😂🤣🤣👇👇👇
View attachment 3063650
Barabara za lami zinatafutwa kwa torch😂😂🤣🤣.Tatizo lako wewe hunaga akili hata moja, wivu wa kimaendeleo umekushika mpaka unakuwa mpuuzi, huo ni mji mpya nyumba nyingi hapo hazina hata 4 years, usifananishe na mji mkongwe na wakizamani kama Karen, alafu nmekusikia ukisema hakuna lami, haya ni mata.ko yako haya 👇👇View attachment 3063551
Watchman siku hizi hapendi mambo za kupost pictures. Tangu ajaribu hadi tukagundua yeye ni watchman aliachana na kuambiana watu wapost picha kabisa😂😂🤣🤣Hao wapenda sifa za kijinga achana naye, mana atakutafutia picha za uongo akajifanya sura anaziba chini anaandika nipo US, haya hapo utafanyaje, achana naye ajiliwaze, ndiyo wapo hivyo wasenge hawa.
NairobiWalker ashapost picha zake leo bila kusema. But since you are not keen huweziona.Heb post picha zako tukuone mzee 😂😂😂
Haijai but has the capabilities.Onesha lini a380 ili land JKIA.
Umeamua kufukuza Huyo fukara. Wewe Ukipost Camera za 400k yeye atakuwa anapost viatu vya 350 bob.Nishawai post humu picha yangu nikiwa China. Wenye waliiona waliiona. Ukitaka nyengine nitapost tu kwani Iko Nini. Huyu hapa Mimi nikizuru mbuga za wanyama za Tsavo na Amboseli. Hiyo Camera uionayo inaitwa Sony A71V. Lens yake ni
Sony FE 24-105mm f/4 G OSS. Bei yake imeshinda mshahara wako wa mwaka mmoja and that is kama una mshahara at all sababu numemsikia Teargas mara nyingi akisema unamtegemea demu Fulani hapo Tandale. Hiyo camera nikiinunua ilikuwa shilingi 400k za Kenya, sijui sahii imefika ngapi. Lens niliinunua na 200k za Kenya. Unaweza ukaangilia Bei zake mtandaoni kwa Sasa. Wewe endelea kukaa hapo Tandale ukijilinganisha na watu ambayo lunch yao itakulisha mwezi mzima.
View attachment 3063596
Obviously amekushinda 🤣🤣😂😂Sasa kama wewe ni huyu then what makes you think you are any better than I.? 😂😂😂