Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani nani hakujui? Unalishwa na msichana wa watu, huna kitanda, unakula kwa vibanda. Na ukikula smocha unapost huku? Wewe nani hakujui? Mapua yako ni kubwa, midomo ni pana na kubwa pia, maskio kubwa. Hivi nani hakujui hapa JF?

To summarize it you are the poorest member here.

Obviously amekushinda πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚

Tangu uzaliwe pesa ushaishika maishani mwako inaezafikia Ksh400k zikiunganishwa
Mbona umeni quote mara nyingi hivi.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ umekasirika.?
 
Jana karibu nikuwe na damu ya binadamu mkononi mwangu. The guy lying ahead just appeared out of Nowhere into the road, vile nilimiss hivi mtu wa lorry akapita na yeye. I stood there for almost 2 hrs just staring.

I'll never forget yesterday.πŸ˜”πŸ˜”


IMG_20240806_173917_191.jpg
 
Yani una brag bei ya camera.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Aisee.
Sasa wewe kinyangarika mmoja uliyebrag na shawarma ya KES 100 leo hii ujifanye Camera ya KES 600K sii kitu kwako? Unaijua 600k wewe? Kwa pesa ya madafu hiyo ni Tshs. 12,500,000. Pesa kama hizo nina uhakika hata kwota yake hujawaishika kwa wakati mmoja.
 
Back
Top Bottom