Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Tangu uzaliwe pesa ushaishika maishani mwako inaezafikia Ksh400k zikiunganishwa?Yani una brag bei ya camera.? πππππ. Aisee.
Tangu uzaliwe pesa ushaishika maishani mwako inaezafikia Ksh400k zikiunganishwa?Yani una brag bei ya camera.? πππππ. Aisee.
Huyo dogo muacheni sasa imetosha, kama tu jezi ya yanga anasema ni bei ghali na inauzwa 2k ππππUmeamua kufukuza Huyo fukara. Wewe Ukipost Camera za 400k yeye atakuwa anapost viatu vya 350 bob.
Dah umeandika kwa uchungu mno, mwenzako watchman alikukanya hukuskia πππSasa kama wewe ni huyu then what makes you think you are any better than I.? πππ
Ameenda kujigroup πππ€£Dah umeandika kwa uchungu mno, mwenzako watchman alikukanya hukuskia πππ
Kwani nani hakujui? Unalishwa na msichana wa watu, huna kitanda, unakula kwa vibanda. Na ukikula smocha unapost huku? Wewe nani hakujui? Mapua yako ni kubwa, midomo ni pana na kubwa pia, maskio kubwa. Hivi nani hakujui hapa JF?
To summarize it you are the poorest member here.
Obviously amekushinda π€£π€£ππ
Mbona umeni quote mara nyingi hivi.? ππππ umekasirika.?Tangu uzaliwe pesa ushaishika maishani mwako inaezafikia Ksh400k zikiunganishwa
Hata na wewe maskini wa mombasa unapanua mdomo.? Mzee wa kula bata Arusha .?Dah umeandika kwa uchungu mno, mwenzako watchman alikukanya hukuskia πππ
Kwani hutaki nikuquote? Fukara hiiπππ€£π€£.Mbona umeni quote mara nyingi hivi.? ππππ umekasirika.?
Unatoa wapi nguvu ya kuita mtu maskini mzee wa viatu vya 500 ππHata na wewe maskini wa mombasa unapanua mdomo.? Mzee wa kula bata Arusha .?
Sasa wewe kinyangarika mmoja uliyebrag na shawarma ya KES 100 leo hii ujifanye Camera ya KES 600K sii kitu kwako? Unaijua 600k wewe? Kwa pesa ya madafu hiyo ni Tshs. 12,500,000. Pesa kama hizo nina uhakika hata kwota yake hujawaishika kwa wakati mmoja.Yani una brag bei ya camera.? πππππ. Aisee.
Shawarma kitu gani? Hile ilikuwa smocha.Sasa wewe kinyangarika mmoja uliyebrag na shawarma ya KES 100
Ebu nitumie ile picha yake ya kishamba nataka niseme kitu. π€£ π€£Shawarma kitu gani? Hile ilikuwa smocha.
Gani? Hile anakula kwa kibanda ama yenye amekalia kitanda?ππEbu nitumie ile picha yake ya kishamba nataka niseme kitu. π€£ π€£
Kumbe wanapiga kelele hapa na wanakula mkate za Kenyaπππ€£π€£
View: https://x.com/Kiganyi_/status/1821085527510041024
Yoyote tu, zote zimechapa the same design. π€£ π€£Gani hile anakula kwa kibanda ama hile amekalia kitanda?ππ
Acha nikupatie hiiπππ€£πππYoyote tu, zote zimechapa the same design. π€£ π€£
Alafu wananua mkate 165 while Kenya the same bread is 65 bob.Tunawalisha π ππ