Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Duh!! Na wewe umeanza kuwa na mawazo ya Wakenya sasa. Tunaongelea Show ya Jumamosi na Jumapili wewe unaleta hoja tofauti.

Kinachonishangaza zaidi ni kuhusu Red Arrows mnawafunga kwenye bonanza kwa figisu

Yanga ni timu ya kawaida sana. CAF wanajua hilo. Ndio maana mnaanzia kwenye initial stage.

😀 😀 😀 😀
IMG-20240805-WA0003.jpg
 
Huyu jamaa amejenga nyumba katikati ya mpaka😂😂😂 👇🏾
View: https://youtu.be/bPuOKHVsc7E?si=mV10l_FYRqiVEwcZ. Watu wa mombasa nimeishi nao nawajua vizuri sana, kuanzia ushoga, venye they are lazy, maneno yao maziiiito 😂😂😂. They speaking like them singing. 😂😂😂. I know them better. By the way mdogo wangu aliolewaga huko Mombasa (dingi alilengesha connection) 😂😂 basi bwana huyo jamaa wa mombasa aliachwa becoz of his laziness.. “wazee wa maaa chapati ngumu” huwa tunawadharau sana wakifika Tanga. 😂😂😂

Huyu anatakiwa afurumushwe huwezi kujenga kwenye buffer zone halafu mawaziri wanaenda kupiga nae picha! Ni kama wanahalalisha huu uvunjifu wa sheria!
 
Duh!! Na wewe umeanza kuwa na mawazo ya Wakenya sasa. Tunaongelea Show ya Jumamosi na Jumapili wewe unaleta hoja tofauti.

Kinachonishangaza zaidi ni kuhusu Red Arrows mnawafunga kwenye bonanza kwa figisu

Yanga ni timu ya kawaida sana. CAF wanajua hilo. Ndio maana mnaanzia kwenye initial stage.

😀 😀 😀 😀
Hapa kaka nakupinga,Red arrows hakufungwa kwa figisu.
Kama ulitizama mpira red arrows walizidiwa possession,kipindi cha kwanza tu possession ilikua 61 kwa 39.
Tena Yanga yenyewe ilikua inacheza randomly eti Maxi Nzengeli akicheza wing back.
Denis Nkane akicheza CB.
Penalty ilikua sahihi yule mchezaji kacheza mwili wa kibabage sio mpira,red card nayo sahihi kama uliona hata yule mchezaji wenzake walikua wanamsema kuwa kafanya upumbavu.
Tarehe nane haiko mbali usidhani Nzengeli atacheza wing back kama juzi.
 
As Kenyan police fight rebels in Haiti, Tanzanian police are rapping women in Tanzania.😂😂

View attachment 3062508
Kosa la baadhi ya askari isikufanye ukalichafua jeshi zima kijana.
Unataka kusema Kenya hakuna askari wanaokosea!??
Je tulikosoe Jeshi zima la Kenya kisa wale askari wanaouzia alshabaab mkaa na bunduki!?
 
Back
Top Bottom