Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwenye hilo kitu ni kama huelewi unachoongea. Kinachofanyika hapo ni kuunganisha filamu na utalii, kama Africa kusini, unajua kwa nini studio kubwa ipo Cape town na sio joburg?? Ninkwa sababu ya utalii.

Pia nineona sehemu umeongelea hospital. Zanzibar mpaka sasa, na mikakati yote iliopo, hakuna hispitali ya hadhi ya dunia. Kuwa na hospitali yenye worlds class facilities ni lazima kwa sasa ili Zanzibar iweze kupaa. Kuna fursa nyingi wanazikosa sababu hakuna facilities hapo Zanzibar. Naomba uelewe hivi vitu.
Kwenye mradi wa Amber resort kuna medical facility ya nguvu inajengwa na Mwinyi anajenga hospitals nyingi tu.

Hapo kwenye utalii na na filamu, embu nieleweshe kwa undani.
 
Mhh , inaweza ikabaki Tz na isilete hasara per se as you speak mfano , Tukiamua kujenga indsustrial parks along SGR lets say Dodoma na Singida , mizigo iwe inabebwa na SGR, pia SGR ina life span kubwa na nchi ina develop , inabidi ku targert kuwa kubdouble exports in next 10 years , hili litawezekana kwa kujenga industrial parks
Ndio reli ya Tazara wanajenga hivyo, kutakuwa na viwanda vya kumwaga kwenye njia upande wa Tanzania na Zambia. Nimesikia Maza anasema watakonekt Tazara na SGR, does it mean plan ya kwanza ya kukarabati imewekwa kando na tunakwenda SGR Tazara?

Cc Geza Ulole
 
Ndio reli ya Tazara wanajenga hivyo, kutakuwa na viwanda vya kumwaga kwenye njia upande wa Tanzania na Zambia. Nimesikia Maza anasema watakonekt Tazara na SGR, does it mean plan ya kwanza ya kukarabati imewekwa kando na tunakwenda SGR Tazara?

Cc Geza Ulole
ku-connect haimaanishi kuibadili kuwa SGR, pale Kilosa Morogoro kuna connection ya MGR na TAZARA’s CGR pia!
1024px-Railways_in_Tanzania.svg.png
 


KPA ya hovyo sana yani... Karibu mwezi wa tatu huu wameshindwa kuvuta hiyo barge.. Unaenda mwezi wa nne huu kontena za watu wanashindwa kupata mizigo yao.

Tayari kuna shipping line zimefungua kesi kwenye ngazi za juu za usafiri wa majini. Tusubirie watapigwa fine gani. Na meli zitawakimbia sasa maana service mbovu. Unajiita transhipment port na huna tug boat zenye nguvu ya kuvuta barge ya containers 300!!??
 
KPA ya hovyo sana yani... Karibu mwezi wa tatu huu wameshindwa kuvuta hiyo barge.. Unaenda mwezi wa nne huu kontena za watu wanashindwa kupata mizigo yao.

Tayari kuna shipping line zimefungua kesi kwenye ngazi za juu za usafiri wa majini. Tusubirie watapigwa fine gani. Na meli zitawakimbia sasa maana service mbovu. Unajiita transhipment port na huna tug boat zenye nguvu ya kuvuta barge ya containers 300!!??
GOT inatakiwa ikataze matumizi ya Tugboats si salama!
 
KPA ya hovyo sana yani... Karibu mwezi wa tatu huu wameshindwa kuvuta hiyo barge.. Unaenda mwezi wa nne huu kontena za watu wanashindwa kupata mizigo yao.

Tayari kuna shipping line zimefungua kesi kwenye ngazi za juu za usafiri wa majini. Tusubirie watapigwa fine gani. Na meli zitawakimbia sasa maana service mbovu. Unajiita transhipment port na huna tug boat zenye nguvu ya kuvuta barge ya containers 300!!??
Hao wanachoweza kupika data tu pale kibera
 
Back
Top Bottom