Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata ikiwa bure bado itawachukua nyie nyang’au miaka mingi sana😎😎😎
Hata ikiwa bure bado itawachukua nyie nyang’au miaka mingi sana😎😎😎
Hizo ni vitu tumezoea. This was 2016, nyinyi mnaishangilia 2024. Na ujue hii si ya bure😂😂🤣👇👇

1722797200409.jpeg
 
Wrong timing and wrong scale of preference,Tungenza Barabara kila Kona ya Nchi kufungua Uchumi then tuanze Sgr ,walau uchukiwa Ukiwa Dola Milioni 100.
Chinese economy in relation to rail.png


US economy in relation to rail.png

Ukichunguza nchi zilizopiga maendeleo makubwa kwa haraka kiuchumi, utakuta mitandao ya reli ilikwenda sambamba na maendelo hayo. Mifano halisi ni China 2000 - 2020 na Marekani 1830 - 1914
 

BMH YAPANDIKIZA ULOTO MGONJWA WA SIKOSELI​

31. Juli 2024
KLLL_1.jpg



Amesema utaalam huu unaojulikana kama 'Bone Marrow Manipulation- RBC Depletion' ni utaalam unaofanywa na mashine maalum (Apheresis machine) kwa kuchuja na kuchukua Uloto ulio kusudiwa kisha kumwekea mgonjwa (kumpandikiza) Uloto uliobakia.

Dkt Stella ametaja vigezo vingine wanavyozingatia katika upandikizaji uloto mbali na kundi la damu, ambalo sasa limepatiwa ufumbuzi ni pamoja na umri wa mgonjwa ( miaka 4 hadi 12), uwepo wa mchangiaji uloto mwenye ufanano wa kina saba na mgonjwa ( HLA matching) na hali nzuri ya afya ya mgonjwa na mchangiaji uloto.

BMH imekuwa hospitali ya kwanza nchini kutoa huduma hii kwa wagonjwa wa sikoseli na hivyo kuifanya Tanzania kuwa nchi ya kwanza kwenye ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kutoa huduma hii kwa wagonjwa wa sikoseli.

Huduma ya upandikizaji uloto kwa wagonjwa wa sikoseli ni huduma inayolenga kuondosha kabisa ugonjwa wa sikoseli na kumfanya mgonjwa kupona ugonjwa huu na kurejea katika uimara wa afya kama watu wengine wasiona ugonjwa huo. Huduma hii inaendelea kutolewa BMH kwa mafanikio makubwa na hivyo kuendelea kuleta matumaini kwa watanzania wengi, ikizingatiwa kuwa Tanzania ni nchi ya 4 duniani kwa kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa wenye sikoseli.

 
Back
Top Bottom