Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Hiyo jezi ni 45k Tz money. Sijui hata kama uko na hiyo pesa Hapo ulipo ๐๐๐๐Ebu tuambie ni bei gani nikununulie. Weka bank account ๐๐๐
Hiyo jezi ni 45k Tz money. Sijui hata kama uko na hiyo pesa Hapo ulipo ๐๐๐๐Ebu tuambie ni bei gani nikununulie. Weka bank account ๐๐๐
Imeeleweka kwa nani?Logic ya hoja yangu ilishaeleweka,mjadala wa Sgr naufunga rasmi.
Unachoandika unakielewa kweli? Ww umesema ni ujenzi wa reli km 700, Sasa ujenzi wa reli km 700 inahusiana vipi na kununua treni na mabehewa? Pia hizo treni na mabehewa zimenunuliwa kwa trillion 3?Wewe nae ni mgumu sana wa kuelewa,hizo 10T zinahusisha gharama za kujenga reli pamoja na miundombinu mingine ya kufanya treni itembee kama umeme,ununuzi wa mabehewa ,vichwa vya treni nk..
Kwa hiyo Kila taarifa imekosewa? Harafu hata PM nimewahi msikia akizungumza hiyo figure nikipata taarifa yake nitakupa.
๐๐๐๐ wewe Kweli ni kiande..
Ushawahi kumiliki biashara yoyote? Muda ni mali kichaa wewe, kwa kufikisha bidhaa kwa wakati Ndio kunampa fursa mfanyabiashara kufanya mizunguko mingi ya kibiashara zaidi na kutengeneza faida Maradufu
Alkadhalika kukakawia kwa kufikisha mizogo (kutumia muda mrefu barabarani) ni cost full kwa mfanya biashara since itamlazimu atumie gharama nyingi kwa gari alilokodi n.k,
Kwa kuzingatia muda itamfaidisha mfanya biashara kuweza kubeba kwa usalama na kwa haraka bidhaa nyingi zinazowahi kuharibika mf matunda, nyama na samaki..
Mbona kama nitakurudisha shule sasa.? ๐๐๐๐
Kwani we hujui kama train is suitable of carrying heavy and bulk goods ? Au unataraji hayo madini ya ujenzi n.k kutoka huko countryside yataletwa dar port kwa lories.? ๐๐๐. Then tupoteze hasara kila mwaka kukarabati thousands km of roads zilizoharibiwa na lories.?
Wewe sidhani kama upo timamu wewe. ๐๐๐
Imeeleweka kwa nani?
Pia ushauri nakupa tena, social media pages si mara zote hutoa taarifa sahihi maana huendeshwa na admins ambao nao hufanya makosa. Taarifa sahihi weka report full, au kwa za miradi angalia kwenye bajeti iliyowasilishwa bungeni. Ww una kazi ya kuweka links tu za Twitter
Pia hapa hatushindani, bali tunawekana sawa lengo wote tuelewe nn kinaendelea
Huyu ni mgonjwa, huwa anatoa mifano kichwani. Hapo juu tumetoka kuzungumzia wilaya ya mlele na sitalike junction, anachoongea hata hakielewiTatizo mnapigia mbuzi GITAAA
Nimefunga mjadala wa sgr ,ujumbe umefika hapa unashupaza shingo tuu kujikakamua.๐๐๐๐ wewe Kweli ni kiande..
Ushawahi kumiliki biashara yoyote? Muda ni mali kichaa wewe, kwa kufikisha bidhaa kwa wakati Ndio kunampa fursa mfanyabiashara kufanya mizunguko mingi ya kibiashara zaidi na kutengeneza faida Maradufu
Alkadhalika kukakawia kwa kufikisha mizogo (kutumia muda mrefu barabarani) ni cost full kwa mfanya biashara since itamlazimu atumie gharama nyingi kwa gari alilokodi n.k,
Kwa kuzingatia muda itamfaidisha mfanya biashara kuweza kubeba kwa usalama na kwa haraka bidhaa nyingi zinazowahi kuharibika mf matunda, nyama na samaki..
Mbona kama nitakurudisha shule sasa.? ๐๐๐๐
Kwani we hujui kama train is suitable of carrying heavy and bulk goods ? Au unataraji hayo madini ya ujenzi n.k kutoka huko countryside yataletwa dar port kwa lories.? ๐๐๐. Then tupoteze hasara kila mwaka kukarabati thousands km of roads zilizoharibiwa na lories.?
Wewe sidhani kama upo timamu wewe. ๐๐๐
Walienda maandamo kumtafutia joho kazi. ๐๐๐Hivi nyie nyangโau mbona mmeshindwa #Rutomustgo na mbwembwe zote zile?๐๐
Save your energy. Huyo ni kichaa.Are you serious na 13 Trillion za Ndege ?
Ndege hazijacost 13 trillion
787 3 ni 750mil usd
Max 9 2 256mil usd
A220s 4 ni 320mil usd
Dash 8 5 ni 135 mil usd
767 F ni 220 mil usd
Jumla 1.68 bil usd kwa rate ya sa hizi ni 4.3trillion umeandika trillion 13 umeitolea wapi , plus mbona Goverement bado inaagiza ndege , maana mwaka huu itaagiza 737 800F , BBJ 737 , na Q400
Acha kua muongo ili kutengeza point , tengenza valid point na Data
Plus hyo SGR ikifika hyo mikoa ya huko ina reduce transit time by more than 50 percent ,huoni kama hyo ni development
Ipo Ursino street au Barabara ya Kikwete Opposite na Morocco square .Hii itakuwa wapi Kamanda wa Anga?
Jengo gani?Ipo Ursino street au Barabara ya Kikwete Opposite na Morocco square .
Hata ikiwa bure bado itawachukua nyie nyangโau miaka mingi sana๐๐๐Mambo ya kuingia uwanjani bure?๐๐๐คฃ