ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,431
- 85,268
🤣🤣🤣😒😒😒💩💩💩🚮🚮🚮Jezi Kali balaa Yani katika jezi za yanga hii jezi Kali Sana 😂😂😂😂
Ni ujinga kuendelea kuongea na huyu boya. Anafikiri uwekezaji wa $20B na zaidi ni kama kujenga choo.Ni obvious hakuna biashara ya maana kwa Tanzania pekee kufanya hii project ibreakeven, lazima tupate mzigo wa DRC na ndio maana ikaelekezwa huko, ni feasibility studies za maana zilizofanywa na reputable international organizations hatimae project ikaonekana viable
Hata huyo muingereza wako akienda China. Tunajitambua sio kama nyie nyang’au🙂Muingereza akija Kenya hatopata shida ya kuongelesha watu mitaani ila hapo kwenu atapata shida.
Kijana wangu, Abdul. Kiufupi, nachoweza kukuambia ni hujielewi!Alishakataa iwe Kupandisha hadhi au kuunda Jiji,hapo Morogoro sio tuu wanataka Jiji Bali wanataka kupata Mkoa Mpya Kwa sababu mwisho wa siku mtoa idhini wa Mwisho ni Ofisi ya Rais.
Wewe unaejielewa kapandishe Morogoro iwe Jiji basiKijana wangu, Abdul. Kiufupi, nachoweza kukuambia ni hujielewi!
Morogoro inaweza kuwa jiji, lkn haiwezi kugawanywa kutengeneza mkoa mwingine. Ardhi kubwa ya morogoro ni national parkWewe unaejielewa kapandishe Morogoro iwe Jiji basi
Wewe ndio unasema haiwezi ila RCC ya Mkoa na hatua zote zilishapitoshwa.Morogoro inaweza kuwa jiji, lkn haiwezi kugawanywa kutengeneza mkoa mwingine. Ardhi kubwa ya morogoro ni national park
Wew hujielewi.Wewe ndio unasema haiwezi ila RCC ya Mkoa na hatua zote zilishapitoshwa.
Wilaya ya Mpanda ikiwa sehemu ya Rukwa imeundwa Mkoa wa Katavi ambao 75% ni Hifadhi za Serikali.
Magufuli alipunguza Hifadhi ya Katavi na mapori ya akiba na kuunda Wilaya 3 na Halmashauri 4.Na Juzi kwenye ziara ya Rais Pinda na Kamwelwe wameomba Ardhi Mpya na yatamegwa kama kawaida.
So hapo Morogoro kuna uspesho upi?
Mwisho,kuchamba kwingi utajipaka mavi.
Iwe protected au isiwe protected sijui na UNESCO,Serikali ikiamua inamega na Hakuna awa kuzuia ndio maana mlijenga bwawa Ndani ya Hifadhi hiyo hiyo ambayo Iko protected licha ya kelele za kupinga.Wew hujielewi.
Usipoelewa na hapa, njoo DM nikupe ada ya kwenda shule
View attachment 3061372View attachment 3061373
Itakuwa wapi??Dar es Salaam Starbucks will Open soon! Soft Opening now.
View attachment 3061074View attachment 3061075
View: https://youtu.be/bbHO4Mz5SKU?si=KjhJrpSHMiN3iu2P
MY TAKE
A380 itatua hapa!
mara mwisho huko Ukunduni mmejenga uwanja wa size hii lini? NairobiWalker