muhogo_kiks
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,759
- 4,852
Kwenye hilo kitu ni kama huelewi unachoongea. Kinachofanyika hapo ni kuunganisha filamu na utalii, kama Africa kusini, unajua kwa nini studio kubwa ipo Cape town na sio joburg?? Ninkwa sababu ya utalii.Hajachagua, ameingizwa chaka. Mama yuko bias, hata mradi wa hospital mkubwa kapeleka huko. Idris baada ya mmuda ataelewa ni wapi mahala sahihi. Tupe hapa.
Zantel walihama Zanzibar, lazima unangalie soko wapi lipo. Sokolamovies liko Dar na ndio mahala pake.
Pia nineona sehemu umeongelea hospital. Zanzibar mpaka sasa, na mikakati yote iliopo, hakuna hispitali ya hadhi ya dunia. Kuwa na hospitali yenye worlds class facilities ni lazima kwa sasa ili Zanzibar iweze kupaa. Kuna fursa nyingi wanazikosa sababu hakuna facilities hapo Zanzibar. Naomba uelewe hivi vitu.