Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe sio mzima wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwa barabara let’s say, ukitoka Dar-Mwanza kwa basi ni almost siku nzima unaitumia njiani, masaa 18 unatumia njiani, hii ni kwa basi la abiria, lory la mizigo linatembea muda gani.?

Kwa SGR treni itatumia masaa saba + kubeba mzigo mara Dufu ya mzigo ule utakaobebwa na lories kadhaa kwa cost ya chini zaidi na haraka zaidi.

Ikiwa una akili timamu hii inakwambia nini.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wewe ni ziaidi ya mbumbumbu,kwa hiyo Kwa Sasa mnavyowahi kufika Dom ndio Uchumi wa mtu wa Bahi utaimarika? Kwa hiyo reli itaondoa umaskini?

Unaweza niambia Kwa emkoloni hakujenga Barabara alijenga reli?

Mwisho Kwa hiyo kuwahi kufika ndio justification ya Trilioni 10 za Sgr km 700? 😁😁😁😁

Usinichoshe Kwa ujinga wako bana.
 
Huyu ChoiceVariable ni mwehu huyu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mara kadhaa nimemuambia usiwe unaandika vitu ambavyo hujui. Alianza kusema magufuli aliunda wilaya 3 mkoa wa mpanda. Baadae naona akawa mpole, sijui huwa anafikiri humu watu hawajui lolote

Akageukia hidadhi ya katavi na mlele, lakini haelewi hata hifadhi ya katavi na wilaya ya mlele ilivyo.
 
Bajaji na boda boda ni uchafu, sio kitu cha kujivunia kwanza serikali inatakiwa iongeze kodi ili kudiscourage importation cha ajabu wao ndio wanataka kiwanda kije
Uchafu kwako ambae unaona Sgr ndio kitu Cha maana kuliko Barabara za Vijijini ambako boda na Bajaj ndio njia kuu ya Usafirishaji.

Watu wa Dar Huwa mnaniboa nyie
 
Wewe ni ziaidi ya mbumbumbu,kwa hiyo Kwa Sasa mnavyowahi kufika Dom ndio Uchumi wa mtu wa Bahi utaimarika? Kwa hiyo reli itaondoa umaskini?

Unaweza niambia Kwa emkoloni hakujenga Barabara alijenga reli?

Mwisho Kwa hiyo kuwahi kufika ndio justification ya Trilioni 10 za Sgr km 700? 😁😁😁😁

Usinichoshe Kwa ujinga wako bana.
Hiyo trillion 10 kwa km 700 umeitoa wapi?
Ni nani kakuambia trillion 10 imetumika kwa km 700?
 
Wewe bwana usinisumbue, taarifa zangu zote Huwa ni vyanzo vya Serikali,siokotezi.

Hiki ni nini? πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/C-IcZKYNkza/?igsh=OW84c2d1Z2F1ZzBl

Usiwe kama robot, ndio maana nakuambia mara zote unapotumia pages za social media uwe makini. Kuna kuandikwa ambacho kuelewa mpaka usome usikilieze hotuba yote, pia nao hufanya makosa ya uandishi
Chini hapa ni hotuba ya waziri aliyoisoma na bungeni alisoma. Angalia gharama za mradi kwa hizo km 700.
 

Attachments

  • Screenshot_20240804-195347_1.jpg
    Screenshot_20240804-195347_1.jpg
    389.9 KB · Views: 24
Usiwe kama robot, ndio maana nakuambia mara zote unapotumia pages za social media uwe makini. Kuna kuandikwa ambacho kuelewa mpaka usome usikilieze hotuba yote, pia nao hufanya makosa ya uandishi
Chini hapa ni hotuba ya waziri aliyoisoma na bungeni alisoma. Angalia gharama za mradi kwa hizo km 700.
Wewe nae ni mgumu sana wa kuelewa,hizo 10T zinahusisha gharama za kujenga reli pamoja na miundombinu mingine ya kufanya treni itembee kama umeme,ununuzi wa mabehewa ,vichwa vya treni nk..

Kwa hiyo Kila taarifa imekosewa? Harafu hata PM nimewahi msikia akizungumza hiyo figure nikipata taarifa yake nitakupa.
 
Wewe umekuja na post ya social media, na unapenda kutumia hizi kama ndio credible source
Mm nimekuwekea report ya waziri aliyoiwasilisha. But ukitaka na ya TRC nakuwekea, uone kama zinatofautiana
Logic ya hoja yangu ilishaeleweka,mjadala wa Sgr naufunga rasmi.
 
Wewe ni ziaidi ya mbumbumbu,kwa hiyo Kwa Sasa mnavyowahi kufika Dom ndio Uchumi wa mtu wa Bahi utaimarika? Kwa hiyo reli itaondoa umaskini?

Unaweza niambia Kwa emkoloni hakujenga Barabara alijenga reli?

Mwisho Kwa hiyo kuwahi kufika ndio justification ya Trilioni 10 za km 700? 😁😁😁😁

Usinichoshe Kwa ujinga wako bana.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wewe Kweli ni kiande..

Ushawahi kumiliki biashara yoyote? Muda ni mali kichaa wewe, kwa kufikisha bidhaa kwa wakati Ndio kunampa fursa mfanyabiashara kufanya mizunguko mingi ya kibiashara zaidi na kutengeneza faida Maradufu

Alkadhalika kukakawia kwa kufikisha mizogo (kutumia muda mrefu barabarani) ni cost full kwa mfanya biashara since itamlazimu atumie gharama nyingi kwa gari alilokodi n.k,

Kwa kuzingatia muda itamfaidisha mfanya biashara kuweza kubeba kwa usalama na kwa haraka bidhaa nyingi zinazowahi kuharibika mf matunda, nyama na samaki..

Mbona kama nitakurudisha shule sasa.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kwani we hujui kama train is suitable of carrying heavy and bulk goods ? Au unataraji hayo madini ya ujenzi n.k kutoka huko countryside yataletwa dar port kwa lories.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Then tupoteze hasara kila mwaka kukarabati thousands km of roads zilizoharibiwa na lories.?

Wewe sidhani kama upo timamu wewe. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom