Acha ujinga wewe , watanzania wa kawaida walio ingia darasani kujifunza lugha wanaongea kizungu vizuri mno Tena bila sheng, mifano ipo kibao ukitaka nitaieleta hapa.. diamond ni failure darasani mwenye baraka ya kipaji na umaarufu tu, usimtolee mfano kamwe eti kwamba he’s more smart on matters of speaking good English eti kisa anakutana na wazungu.
Ngoja leo nikusanue, usichokijua ni kwamba, wasanii 70% au hata 80% hapa Tz ni wale hata form four hawakumaliza (pamoja na diamond platnumz), very difficult for them to master even tenses or simple grammars, considering the fact that Kiswahili is a language of instruction in primary schools while English is just a subject.
Ajabu ni kwamba mkiwaona Hao eti ndio mnatafsiri taifa Zima 😂😂😂😂