Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu ndio upuuzi gani sasa mbona hii imekaa kama mfano wa underpass? Amakweli mmezoea vitu jua kali dah ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Kwanza angalia ukuta ulivyopindapinda na quality ya hiyo infrastructure inafikirisha sana too sad kwa walipa kodi pole yenu ๐Ÿ˜
Wakenya huwa wababaishaji sn, sasa hapo wamefosi hiyo ili waonekane na wao wanayo kama, kuhusu kupindapinda ni kwasababu mafundi ni Wakenya kumbuka.
 
Aloo kama mbele mwanangu โค๏ธ โค๏ธ ๐Ÿ˜˜ ๐Ÿ˜˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ”ฅ ๐Ÿ”ฅ ๐Ÿ”ฅ ๐Ÿ”ฅ
20240802_111243.jpg
 
Aloo kama mbele mwanangu โค๏ธ โค๏ธ ๐Ÿ˜˜ ๐Ÿ˜˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ”ฅ ๐Ÿ”ฅ ๐Ÿ”ฅ ๐Ÿ”ฅ
View attachment 3059283
Hii ndani imekaa poa ina recliner seats nzuri na view maridadi sio kama ile iliyokaa kama kijiwe cha kahawa๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Hata ingechukua miaka buku ila Hadi Sasa hivi leta faida ya reli zilizopo maana Zina miaka Mingi ya hasara.

Mwisho Kila km 1 ya Barabara ikikamilika on the spot inaanza kuzalisha,reli ni vipi? ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

Mnatumia Nguvu sana ku justify makosa ya kimaamuzi ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Nimekwambia na narudia mtandao wa Barabara ukiimalishwa hakuna Cha Msongamano Wala nini acha kujifariji.
Ngoja nikuache Kwanza maana akili zako ww zimebobea zaidi kwenye siasa za kibeberu, mtafute mchumi akutafautishie faida na ujue kwann reli ni lazima ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Back
Top Bottom