The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Wakenya huwa wababaishaji sn, sasa hapo wamefosi hiyo ili waonekane na wao wanayo kama, kuhusu kupindapinda ni kwasababu mafundi ni Wakenya kumbuka.Huu ndio upuuzi gani sasa mbona hii imekaa kama mfano wa underpass? Amakweli mmezoea vitu jua kali dah ๐๐๐
Kwanza angalia ukuta ulivyopindapinda na quality ya hiyo infrastructure inafikirisha sana too sad kwa walipa kodi pole yenu ๐