Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zambia na malawi wanaongea fluently english kushinda kunyan na atuwasikii kujitambia hiyo lugha
Hivi huyo Mkenya anaejisifia English ni Mkenya gani? Na huyo Mtanzania anaesemwa hajui English ni Mtanzania gani?
Mbona ukiingia mtaani Wakenya wengi tu wana Kiingereza kibovu. Ukiona anaongea Kiingereza kimenyooka ujue kaingia darasani kama Watanzania tu. Angalia random TV interviews utawasikia wanavyobomoa lugha ya watu.
 
Dar es Salaam Starbucks will Open soon! Soft Opening now.

IMG_2006.jpeg
IMG_2005.jpeg
 
Hivi huyo Mkenya anaejisifia English ni Mkenya gani? Na huyo Mtanzania anaesemwa hajui English ni Mtanzania gani?
Mbona ukiingia mtaani Wakenya wengi tu wana Kiingereza kibovu. Ukiona anaongea Kiingereza kimenyooka ujue kaingia darasani kama Watanzania tu. Angalia random TV interviews utawasikia wanavyobomoa lugha ya watu.
Naona mnaumwa kweli. Tofauti ni kuwa huyo Mkenya wa mtaani anaweza communicate kwa Kiingereza ukaelewa, yule aliyeingia darasani atakuongelesha Kiingereza fluent. Meanwhile hapo Bongo huyo wa darasani bado atastruggle, yule wa mtaani ndio majanga, hapo hamtoelewana kabisa. Ukipata Mtanzania anaongea Kiingereza safi jua huyo hakusomea Tanzania.
 
Naona mnaumwa kweli. Tofauti ni kuwa huyo Mkenya wa mtaani anaweza communicate kwa Kiingereza ukaelewa, yule aliyeingia darasani atakuongelesha Kiingereza fluent. Meanwhile hapo Bongo huyo wa darasani bado atastruggle, yule wa mtaani ndio majanga, hapo hamtoelewana kabisa. Ukipata Mtanzania anaongea Kiingereza safi jua huyo hakusomea Tanzania.
Wewe ndio unaumwa tena sana. Eti ukipata mTz anaongea Kiingereza safi hakusomea Tz. Unaota wewe. Nimekaa na nunefanya kazi na Wakenya. Mna maneno mengi tu hamna Kiingereza chochote cha ajabu. Tena miaka hii Kiingereza Tz ndio kabisa sio issue.
 
Naona mnaumwa kweli. Tofauti ni kuwa huyo Mkenya wa mtaani anaweza communicate kwa Kiingereza ukaelewa, yule aliyeingia darasani atakuongelesha Kiingereza fluent. Meanwhile hapo Bongo huyo wa darasani bado atastruggle, yule wa mtaani ndio majanga, hapo hamtoelewana kabisa. Ukipata Mtanzania anaongea Kiingereza safi jua huyo hakusomea Tanzania.
Basically umekubaliana na mimi ila unazunguka tu.
 
Wewe ndio unaumwa tena sana. Eti ukipata mTz anaongea Kiingereza safi hakusomea Tz. Unaota wewe. Nimekaa na nunefanya kazi na Wakenya. Mna maneno mengi tu hamna Kiingereza chochote cha ajabu. Tena miaka hii Kiingereza Tz ndio kabisa sio issue.
Tazama travellers wanaotembelea nchi hizi mbili utawaskia wakikubali. Ubaya wenu hamkubali kushindwa hata kama jambo lipo wazi. Wakenya huwa tunakubali kuongea Kiswahili sanifu generally mpo mbele yetu ingawaje tunajua sio wote mnaoongea Kiswahili sanifu yet mkiambiwa ukweli kuhusu Kiingereza mnafura. Sasa kama mtu kama Diamond aliyetembea na kuinteract na watu wengi wanaoongea Kiingereza anashindwa na vitu vya kawaida kama 8 o'clock anasema 2nd sasa what chance does the average Tandale muffin have.
 
Hivi huyo Mkenya anaejisifia English ni Mkenya gani? Na huyo Mtanzania anaesemwa hajui English ni Mtanzania gani?
Mbona ukiingia mtaani Wakenya wengi tu wana Kiingereza kibovu. Ukiona anaongea Kiingereza kimenyooka ujue kaingia darasani kama Watanzania tu. Angalia random TV interviews utawasikia wanavyobomoa lugha ya watu.
Niko abroad,kunyan wengi ninaokutana nao hawajui kiingereza
 
Tazama travellers wanaotembelea nchi hizi mbili utawaskia wakikubali. Ubaya wenu hamkubali kushindwa hata kama jambo lipo wazi. Wakenya huwa tunakubali kuongea Kiswahili sanifu generally mpo mbele yetu ingawaje tunajua sio wote mnaoongea Kiswahili sanifu yet mkiambiwa ukweli kuhusu Kiingereza mnafura. Sasa kama mtu kama Diamond aliyetembea na kuinteract na watu wengi wanaoongea Kiingereza anashindwa na vitu vya kawaida kama 8 o'clock anasema 2nd sasa what chance does the average Tandale muffin have.
Nimekwambia hivi hata mtaani Kenya wengi wana Kiingereza kibovu. Wenye Kiingereza kimenyooka wameenda shule. Wewe pia unakubali hii ila umejitetea kuwa wakiongea wanaeleweka. Kwa mtu alieenda shule sijaona tofauti yoyote kwenye Kiingereza kati ya mTz na mKe.
Diamond hajaenda shule,kajifunza Kiingereza ukubwani ndio maana under pressure anavunja. Hajaizoea hio lugha though anajitahidi.
 
Nimekwambia hivi hata mtaani Kenya wengi wana Kiingereza kibovu. Wenye Kiingereza kimenyooka wameenda shule. Wewe pia unakubali hii ila umejitetea kuwa wakiongea wanaeleweka. Kwa mtu alieenda shule sijaona tofauti yoyote kwenye Kiingereza kati ya mTz na mKe.
Na hapo ndipo unapotafutia pa kutokea. Nimekueleza wazi kwamba Mkenya aliyeenda shule ana Kiingereza bora kuliko Mtanzania aliyeenda shule. Mkenya mwenye hakuenda shule ana Kiingereza bora kuliko Mtanzania mwenye hakuenda shule.

Diamond hajaenda shule,kajifunza Kiingereza ukubwani ndio maana under pressure anavunja. Hajaizoea hio lugha though anajitahidi.
Hapa Kenya tunaye Khaligraph ambaye level yake ya kimasoma ni sawa na Diamond. Ushawai msikia akiongea Kiingereza? Same na Otile Brown. Ndio maana nikakuelezea Mkenya na Mtanzania wenye level moja ya kimasomo Mkenya atajua kuongea Kiingereza vizuri kuliko Mtanzania. Hilo hata Wabongo wenzako wanalijua ila ni ubishi tu mtatafuta.
 
Back
Top Bottom