ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
unautajiri gani ng'ombe wewe 😂😂😂Why should I post utajiri wangu kwa watu maskini kama wewe? Utajiri wangu is inform of investments. Sio viatu fake zile wewe ununua.
unautajiri gani ng'ombe wewe 😂😂😂Why should I post utajiri wangu kwa watu maskini kama wewe? Utajiri wangu is inform of investments. Sio viatu fake zile wewe ununua.
Wewe muosha vyoo unasema nini?😂😂unautajiri gani ng'ombe wewe 😂😂😂
Kupandisha hadhi manispaa ya Morogoro kuwa jiji si sawa na kutengeneza mkoa mpya wa Chato! Tatizo lako huna uwelewa wa mambo!Iko kwenye Mpango wa kupandishiwa hadhi sema Rais alisema Kwa Sasa kuanzisha maeneo mapya ya Utawala sio kipaombele chake cc Mkoa wa Chato 😁😁
Alishakataa iwe Kupandisha hadhi au kuunda Jiji,hapo Morogoro sio tuu wanataka Jiji Bali wanataka kupata Mkoa Mpya Kwa sababu mwisho wa siku mtoa idhini wa Mwisho ni Ofisi ya Rais.Kupanfisha hadhi manispaa kuwa jiji si sawa na kutengeneza mkoa mpya! Tatizo lako huna uwelewa wa mambo!
Aawapii uwanja upo full na hamna kiti kimeng’olewa!Alaf makolo wanasifa za kung'oa viti 🤣🤣🤣
Kupandisha hadhi manispaa kuwa Jiji huwa si uamuzi wa Kisiasa bali kutimiza vigezo! Rais hana mamlaka ya kukataa!Alishakataa iwe Kupandisha hadhi au kuunda Jiji,hapo Morogoro sio tuu wanataka Jiji Bali wanataka kupata Mkoa Mpya Kwa sababu mwisho wa siku mtoa idhini wa Mwisho ni Ofisi ya Rais.
Sawa bwana rich man. 😂😂 invester.Why should I post utajiri wangu kwa watu maskini kama wewe? Utajiri wangu is inform of investments. Sio viatu fake zile wewe ununua.
Na hapo yuko abroad anavyodai, jiulize sasa kuhusu mkaazi wa gongo la mboto 😂😂😂Fluent English✔️
Fluently English ❌
Tunafunga mijadala ya mpira siku hio.Pale kwa daily dose mambo iko shwari.
![]()
![]()
Abroad gani? Huyo kondoo yuko Loliondo.Na hapo yuko abroad anavyodai, jiulize sasa kuhusu mkaazi wa gongo la mboto 😂😂😂
MnoUmekubali mtaani wakenya wengi wana kiingereA kibovu. Hamna cha ajabu. Infact Africa nzima wengi wanavunja tu. Hata SA wapi kibao Kiiingereza kimewapitia kushoto.
Hii niu confirmation bias.Na hapo ndipo unapotafutia pa kutokea. Nimekueleza wazi kwamba Mkenya aliyeenda shule ana Kiingereza bora kuliko Mtanzania aliyeenda shule. Mkenya mwenye hakuenda shule ana Kiingereza bora kuliko Mtanzania mwenye hakuenda shule.
Hapa Kenya tunaye Khaligraph ambaye level yake ya kimasoma ni sawa na Diamond. Ushawai msikia akiongea Kiingereza? Same na Otile Brown. Ndio maana nikakuelezea Mkenya na Mtanzania wenye level moja ya kimasomo Mkenya atajua kuongea Kiingereza vizuri kuliko Mtanzania. Hilo hata Wabongo wenzako wanalijua ila ni ubishi tu mtatafuta.