Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umekubali mtaani wakenya wengi wana kiingereA kibovu. Hamna cha ajabu. Infact Africa nzima wengi wanavunja tu. Hata SA wapi kibao Kiiingereza kimewapitia kushoto.
Muingereza akija Kenya hatopata shida ya kuongelesha watu mitaani ila hapo kwenu atapata shida.
 
Na hapo ndipo unapotafutia pa kutokea. Nimekueleza wazi kwamba Mkenya aliyeenda shule ana Kiingereza bora kuliko Mtanzania aliyeenda shule. Mkenya mwenye hakuenda shule ana Kiingereza bora kuliko Mtanzania mwenye hakuenda shule.


Hapa Kenya tunaye Khaligraph ambaye level yake ya kimasoma ni sawa na Diamond. Ushawai msikia akiongea Kiingereza? Same na Otile Brown. Ndio maana nikakuelezea Mkenya na Mtanzania wenye level moja ya kimasomo Mkenya atajua kuongea Kiingereza vizuri kuliko Mtanzania. Hilo hata Wabongo wenzako wanalijua ila ni ubishi tu mtatafuta.
Hizi ndio zile sifa mnazojipa kila siku. Nyinyi ni bora kuliko wengi e wakati uhalisia sio. Nashukuru umekubali mtaani wamejaa kibao kiingereza cha mchongo mpaka watu waende shule ndio kinanyooka. The same applies to Tz.
 
Morogoro
Screenshot_20240804-111220.jpg
 
Tazama travellers wanaotembelea nchi hizi mbili utawaskia wakikubali. Ubaya wenu hamkubali kushindwa hata kama jambo lipo wazi. Wakenya huwa tunakubali kuongea Kiswahili sanifu generally mpo mbele yetu ingawaje tunajua sio wote mnaoongea Kiswahili sanifu yet mkiambiwa ukweli kuhusu Kiingereza mnafura. Sasa kama mtu kama Diamond aliyetembea na kuinteract na watu wengi wanaoongea Kiingereza anashindwa na vitu vya kawaida kama 8 o'clock anasema 2nd sasa what chance does the average Tandale muffin have.
Acha ujinga wewe , watanzania wa kawaida walio ingia darasani kujifunza lugha wanaongea kizungu vizuri mno Tena bila sheng, mifano ipo kibao ukitaka nitaieleta hapa.. diamond ni failure darasani mwenye baraka ya kipaji na umaarufu tu, usimtolee mfano kamwe eti kwamba he’s more smart on matters of speaking good English eti kisa anakutana na wazungu.

Ngoja leo nikusanue, usichokijua ni kwamba, wasanii 70% au hata 80% hapa Tz ni wale hata form four hawakumaliza (pamoja na diamond platnumz), very difficult for them to master even tenses or simple grammars, considering the fact that Kiswahili is a language of instruction in primary schools while English is just a subject.

Ajabu ni kwamba mkiwaona Hao eti ndio mnatafsiri taifa Zima 😂😂😂😂
 
Ha ha ha Muingereza wa Kenya labda. Mbona tupo nao mitaani wengi tu.
Bro, sioni tunapingana nini. Kuna yale mambo tunaweza pingana ila mengine yapo wazi. Wacha nikupe ile methali mnayoipenda ile ya kumpa mjinga cheo na nikuwache.
 
Hivi kwann Morogoro Town si Jiji? Manispaa ianze kujipanga kwa hilo! Mkoa wa Morogoro kuna vyuo vifuatavyo Jordan University, Morogoro Muslim University, Sokoine University of Agriculture, St Joseph College, Saint Francis University of Health and Applied Sciences, Ifakara Health Institute na Mzumbe Univesity! Morogoro kuna viwanda vya kutosha vya sukari Kilombero, Mtibwa na Mkulazi pia vya kukoboa mpunga Wilma na vya ngozi ukiacha shughuli za Utalii kupitia mbuga ya wanyama ya Mikumi na mlima wa Uluguru!
 
Hivi kwann Morogoro Town si Jiji? Manispaa ianze kujipanga kwa hilo! Mkoa wa Morogoro kuna vyuo vifuatavyo Jordan University, Morogoro Muslim University, Sokoine University of Agriculture, Saint Francis University of Health and Applied Sciences, Ifakara Health Institute na Mzumbe Univesity! Morogoro kuna viwanda vya kutosha vya sukari Kilombero, Mtibwa na Mkulazi pia ukiacha mbuga ya Mikumi!
Iko kwenye Mpango wa kupandishiwa hadhi sema Rais alisema Kwa Sasa kuanzisha maeneo mapya ya Utawala sio kipaombele chake cc Mkoa wa Chato 😁😁
 
Back
Top Bottom