Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata Simba mkali hutiwa mimba 😅😅
20240803_131902.jpg
 
Unafikiri sisi ni kama nyie🤣🤣🤣

Usifananishe Tanzania na nchi za hovyo sisi sio level yenu!! Tulimtoa mchina pale ndo akawekwa muhindi....besides ana gati 5 tu, sio bandari yote!!
Bahati mbaya hizo gati tano ndio zinahudumia mizigo yote 😂😂
 
Nyinyi kila kitu chenu kibaya kinachoonyesha uozo wenu ni lazima kimeokotwa mitandaoni. When will tanzanians stop living in denial?
Hiyo issue imekuwa solved na mada imeisha.
Naona umekuja kwa kuchelewa mrembo.
Ila yote ya yote SGR TZ is de best in East and Central Africa.
 
Now I know why they using two train heads to pull the coaches. These trains hazina nguvu🤣🤣😂😂👇👇👇

Geza Ulole ulisema uonyeshwe train ya vichwa viwili ikifika Dodoma😂😂🤣🤣👇👇

View attachment 3059065
Next atakumbia kwamba umeokota picha mitandaoni, kwamba hapo si Tanzania
 
South Korea firm imetoa sababu za treni kufariki porini 👇😂😂

1.Treni aina ya Hybrid zinaogopa kutembea gizani na porini (TENEBRIFICATION) tofauti na miji iliyozoea kutembea Kule Korea Kusini kule Mungyeong, Seoul Korea Kusini

2.Treni aina ya Hybrid zina tabia ya Kuona aibu Kupita mbele za watu wengi (DIFFIDENTIFICATION)
 
Bahati mbaya hizo gati tano ndio zinahudumia mizigo yote 😂😂
Na DP world anafanya nini pale?? Anacheza mdako??

Mzee acha kukariri, kwa sasa hakuna foleni tena za meli ya kontena, foleni ni meli za general cargo na bulk cargo tu, na waiting time imeshuka mpaka siku 4, ngoja takwimu za mwaka hii zije ndo utajua hujui.....

Na hizi reforms za mama za Mambo ya tax ndo kabisa......

Wewe endelea kuota tu!!
 
Wakenya bwana. Check wanavyolialia kwenye comments...wengine wanataka wafute hii video inayoonyesha umaskini uliotukuka huko vijijini kenya...hakuna barabara, umaskini umekomaa...wengine wanakataa sii kenya... wengine bado wanajitetea kuwa wako better bado imagine....


Sasa huu ndo uhalisia wakenya. Sisi watanzania tukisema mnasema tunawaonea wivu na takwimu zenu za kupika ati. Kenya best Road, kenya nini mnajiona first world....

Tanzania ambayo ni twice in kenya in size iko mbali sana kwa maendeleo ya watu vijijini..
NairobiWalker Teargas

Kenya Rural 😂😂

View: https://youtu.be/e6JoGtx08UI?si=HI2L5_uIXbvniPr-
 
Na DP world anafanya nini pale?? Anacheza mdako??

Mzee acha kukariri, kwa sasa hakuna foleni tena za meli ya kontena, foleni ni meli za general cargo na bulk cargo tu, na waiting time imeshuka mpaka siku 4, ngoja takwimu za mwaka hii zije ndo utajua hujui.....

Na hizi reforms za mama za Mambo ya tax ndo kabisa......

Wewe endelea kuota tu!!
Ushuzi wa bundi 😂😂😂
 
Wakenya bwana. Check wanavyolialia kwenye comments...wengine wanataka wafute hii video inayoonyesha umaskini uliotukuka huko vijijini kenya...hakuna barabara, umaskini umekomaa...wengine wanakataa sii kenya... wengine bado wanajitetea kuwa wako better bado imagine....


Sasa huu ndo uhalisia wakenya. Sisi watanzania tukisema mnasema tunawaonea wivu na takwimu zenu za kupika ati. Kenya best Road, kenya nini mnajiona first world....

Tanzania ambayo ni twice in kenya in size iko mbali sana kwa maendeleo ya watu vijijini..
NairobiWalker Teargas

Kenya Rural 😂😂

View: https://youtu.be/e6JoGtx08UI?si=HI2L5_uIXbvniPr-

It is a poorly scripted video. I don't even care about the village because the village is fine (and actually better than 90% of villages in Tanzania and the rest of Africa) and I don't see anything wrong with it but you have to be a special type of stupid to believe someone hired a lorry to transport 6 fish for a distance of 70km. To make it even more interesting, he's transporting the fish from one fishing village to another - to what end? It's like transporting maize from one farm ro another. Another one paid KES 6000 to have a van pushed out of non-existent mud. Najua humu ni utani but saa zingine tumianga akili. Does it even make sense to you?
 
Back
Top Bottom