babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Hii ya BRT walichukua 2021 ila hadi leo hakuna BRT na pesa wamekula. 😂😂😂Iwe pesa za ndani au vinginevyo, usimamizi wa hizo fedha ni wa hali ya juu na ndiomana tunawatoa jasho. Vipi mikopo lukuki mnayochukua miradi Iko wapi? Now Tanzania isn't your level na tunadhihirisha Hili kwa vitendo. NA BADO
View: https://x.com/pulselivekenya/status/1447820099495280642?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw