chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,673
- 45,902
Bibi titi naomba mrejesho kama huu msaada ulikufikia kwa niaba ya wanapumu wenzio hapo base 😂😂😂
View: https://x.com/TanzaniaInsight/status/1744105374339190908?t=ValTmmsOXrUla_GziET0HQ&s=19
Bibi titi naomba mrejesho kama huu msaada ulikufikia kwa niaba ya wanapumu wenzio hapo base 😂😂😂
Kula chuma iyo, mchanga mjini tutakuwa tunaagiza kwenu, dadadeki angalia facility iyo kama Berlin mwanangu ❤️ ❤️ 😘 😘 😍 😍 🇹🇿 🇹🇿 🔥 🔥 🔥 🔥Mna safari ndefu sana
Tayari pesa zimeshatumika no way outNikajua kwa sababu ni cosmetic project huta post
Tayari pesa zimeshatumika no way out
Imagine hadi pale central police wamepiga parking lot moja imenyooka hakuna hata mchanga!Kula chuma iyo, mchanga mjini tutakuwa tunaagiza kwenu, dadadeki angalia facility iyo kama Berlin mwanangu ❤️ ❤️ 😘 😘 😍 😍 🇹🇿 🇹🇿 🔥 🔥 🔥 🔥 View attachment 3060354
Huyo ni tiagesi wa Tz, kichaa kabisa.Andaman kwa nini hela zote hizo zimetimika zingejenga barabara omba uzima tu badae utakuja kuelewa maake huna unachokielewa maake hata bwawa la umeme ulikuwa unalipinga ila nahisi angevianzisha Samia ungeunga mkono 100% Kwa sababu viliasisiwa na JPM hapo ndio nongwa inpo anzia
Mjinga mmja unaropoka.Lengo la objection Kwa Sasa ni kwamba makosa ya kipunguani kama hayo yasirudiwe.Andaman kwa nini hela zote hizo zimetimika zingejenga barabara omba uzima tu badae utakuja kuelewa maake huna unachokielewa maake hata bwawa la umeme ulikuwa unalipinga ila nahisi angevianzisha Samia ungeunga mkono 100% Kwa sababu viliasisiwa na JPM hapo ndio nongwa inpo anzia
Kiukweli pamendeza mkuu, juzi kati nilipita Hapo nimeona kuna mabati yamezunguka eneo la karibu na reli na ni kama wanajenga pale, nini kinajengwa kama unayo taarifa.?Imagine hadi pale central police wamepiga parking lot moja imenyooka hakuna hata mchanga!
😂😂Leo nipo nae natamba nae 😂Naona mkuu chongchung umeendelea kuipiga spana hiyo punda 😂😂😂
Station ya zamani wanaweka fence mpya ile ya waya ngumu, pia wamekarabati yale majengo ya mkoloni. Wanafanya cosmetics kwa jumla. SGR ilikuwa bado sana sema Mama aliwaambia isiponza July 25 (Dodoma) anawatumbua kwahio ni kama wamelazimisha hivyo bado ujenzi unaendelea sehemu ya station ya zamani.Kiukweli pamendeza mkuu, juzi kati nilipita Hapo nimeona kuna mabati yamezunguka eneo la karibu na reli na ni kama wanajenga pale, nini kinajengwa kama unayo taarifa.?
Humu tunabishana na wehu 😀Haya ondoka View attachment 3060029
Kiukweli pamendeza mno pale, kama sio bongo.com a.k.a Dasilinga. BRT ikikamilika Hawa wasenge humu watahama 😂😂 mana hiyo posta itakua ya Moto Mkali sana.Station ya zamani wanaweka fence mpya ile ya waya ngumu, pia wamekarabati yale majengo ya mkoloni. Wanafanya cosmetics kwa jumla. SGR ilikuwa bado sana sema Mama aliwaambia isiponza July 25 (Dodoma) anawatumbua kwahio ni kama wamelazimisha hivyo bado ujenzi unaendelea sehemu ya station ya zamani.
Posta palisahaulika afadhali BRT itapapendezesha sanaKiukweli pamendeza mno pale, kama sio bongo.com a.k.a Dasilinga. BRT ikikamilika Hawa wasenge humu watahama 😂😂 mana hiyo posta itakua ya Moto Mkali sana.
Mhindi atawasaidia abiria wanaopita hapo hapo ushuzi jkia maana si kwa wezi wale wanaofungua bags za abiriaMuhindi oyee!!!!!🤣🤣
Muhindi memsikia lakini jamani!!??🤣🤣 Kasema anachukia magofu ya JKIA, anayapaka rangi na kuziba mabati, halafu anajaza wahindi wafanye kazi pale maana wakenya "ujuzi hawana" wanaweza kuwa walinzi na house maids tu!!🤣🤣
Halafu akishamaliza utumbo huo, hatowaruhisu wakenya kujenga ama kuemdeleza airport nyingine yoyote Kenya kwa miaka 30🤣🤣
Eeehh! Asanteh muhindi, hizi sio bakora, ni mijeledi!!🤣🤣
![]()
Indian firm to 'ban' Kenya from building any other airport for 30yrs after JKIA takeover
This is one of the demands that Adani Airport Holdings has made in a controversial JKIA takeover proposalbiznakenya.com
Wakenya wanacontrol the sporting events of that country. Another Kenyan company approached by those poor souls😂😂👇👇
View attachment 3059916