Rhaenyra Targaryen
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 879
- 1,040
The fact that you can mention Muthaiga in the same sentence with bad roads means you have no idea about Nairobi or what Nairobi is like. Toka hapo Tandale utembee utajua dunia.Wanavyomtukana sasa Binti ya watu. Kisa kasema ukweli...wao wanataka uwasifie tu.
Waache wazidi kudanganya Dunia....na hakuna mradi wa maana hapo Nairobi unaoendelea...
Green park Terminal ilishatelekezwa...mabasi yanapark popote huko Downtown..ni pachafu balaa...kuanziw archive kote huko mpaka gikomba kuna harufu za ajabu ajabu...
Baadhi ya Barabara za CBD zinaleak sewage mfano hiyo Moi Avenue..
Uhuru park walioifungua kwa mbwembwe ilichomwa kwenye maandamano sasa imefungwa...
Barabara ya chini ya expressway ni aibu ya Dunia. Haina mitaro wala sidewalks
Barabara za kilimani,lavington...kimsingi westlands subcounty barabara zake nyingi ni aibu. Panapendeza juu tu sio kwa ground.
Thika Road ukiachana na hio mainroad huko mitaani ni aibu kuanzia kahawa, Roysambu, muthaiga, mathare, nk nk
Stendi kuu ya Downtown karibu na globe flyover ni matope matupu..
Wako wanajitapa mbele ya Dar ambayo Posta barabara nyingi zinafumuliwa kuwekwa BRT...