Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani eti Uganda wana mzigo mkubwa kuliko hata Tanzania, mapishi mengine buana 😂😂😂

Na shehena zote za SGR, Nyerere dam, barabara, kilimo, madini, madaraja, viwanda, EACOP bado Uganda katushinda mzigo 😅😅🤔😁
Kwani Tanzania mnakuanga na mizigo? Na nikiwaambia SGR yenu itakosa mizigo mnakasirika😂😂
 
Duh huyu msenge treni ya umeme inamuuma wallahi, naomba tumuache aendelee kuumia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Niumwe na mtumba unakwama kila mara porini?😂😂🤣🤣👇👇👇

1722611950633.jpeg
 
Mm huwa nashangaa sn, naomba kuanzia leo huu mjadala uishe, tulishamaliza kitambo ubishani wa SGR tatizo watanzania bado wanampa air time huyo kichaa ambaye hakubaligi kushindwa kwa chochote, just imagine anakuambia treni ya Kenya inakimbia kuliko ya umeme, na bado kuna watu wanabishana naye, ifike kipindi sisi tuendelee kuwapelekea moto kwa kupost treni zetu huyo kichaa akikosoa wala msimjibu. Kwenye mambo mengine tubishane ila sio SGR, BRT, hydro power plants, airports, marine vessels, wala bus terminals.
For your information i don’t post here to be replied by you.I’m also not looking for validation from any Tanzanian here. Ni nyinyi ndio mnawashwa kunijibu. Mimi furaha yangu ni Kia hawa pekee yangu to post things here without being disrupted 😂😂🤣🤣🤣.

Nataka kuanzia leo wewe na watanzania wengine Msinijibu na pia msininge nikipost any information concerning your SGR.

My prayer is to all let me alone to tell everyone how fake and unplanned your SGR is🤣🤣😂😂
 
Jana niliambia mtu hapa ati Trains ndio ni bonoko lakini yeye alikana ati shida iko kwa umeme. Ndio hao sasa TRC wamesema ni trains ndio mitumba😂😂🤣👇👇👇

1722612839679.jpeg
 
And hii mambo ya kukwama itabaki hii for the rest of the year and next😂😂🤣🤣🤣.

1722613289235.jpeg
 
Backward country😂😂.

Watu wamepanga line ya kupata tickets as wako cater😂😂🤣👇👇

IMG_0432.jpeg


Vs

Modern Country.

IMG_0416.jpeg
 
Back
Top Bottom