Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kituko Cha Karne hiki 🤪🤪🤪🤪
Wao tayari walikuwa wamelianzisha tena kwa umoja wa COW na ili kuwapiga bao ilikuwa ni lazima tufanye tofauti na wao kuwavutia wateja. Ndio ukaona tumeenda na vitu vya umeme, vya kasi na bei ya chini na nchi ya kwanza Magufuli kutembelea ilikuwa Rwanda, member wa COW kipindi kile na akajitoa kwenye ile project na COW ikafa. Tungejenga mibarabara bandari zetu tungetumia wenyewe na kule upande wa Southm Zambia wana project ya SGR through Lobito, Angola.

Wewe kwenu mnauza Vitumbua unakosaje akili ya biashara?
 
The most developed City in East, Central and Western Africa.

View attachment 3059833
tapatalk_1537063114848.jpg

The most developed city in kundustan in other side
 
Yaani eti Uganda wana mzigo mkubwa kuliko hata Tanzania, mapishi mengine buana 😂😂😂

Na shehena zote za SGR, Nyerere dam, barabara, kilimo, madini, madaraja, viwanda, EACOP bado Uganda katushinda mzigo 😅😅🤔😁
Kuna hapo machafu chafu wamepika data kuwapoza waandamaji 😂😂 au ushasahau first day tunazindua route ya dar-moro train umeme machafu chafu ndio siku walianza kuandamana 😂
 
Ila mambo mengine ni aibu aisee....
Nini hiki....no sewage/drainage system, hakuna pedestrian walkways, finishing ipo hovyo sana

Na barabara nyingi kenya hata Nairobi ile expressway..barabara ya chini kuna finishing ya ovyo sana. Mvua ikinyesha matope hadi barabarani, hakuna mitaro, wala sidewalks.....yaan ukilinganisha barabara za BRT Dar hata ile ya kilwa road (ambayo tunaona bado haikujengwa vzr) na zile za Nairobi kuanzia Thika,waiyaki,mombasa road nk ni mbingi na ardhi....halafu mnatamba mna the best infrastracture in East Africa 🤔🤣
Yani unalinganisha interchange Kisii ambayo haijaisha kujengwa na BRT ya Dar-is-a-slum??🤣🤣
Kenya ipewe heshima
1722580442328.jpg
 
Tulipiga kelele matengenezo hayakuwa mazuri naona wameanza upya ndio maana imetake time na haya 6 yatarudi baada ya yale kuja. Kulikuwa na hata nyaya zina ning'inia.


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1666829104820154368

Yatarudi? Una uhakika au unaropoka? Mbona marekebisho na maboresho ya hayo sita yanaweza kufanyika kwa urahisi hapahapa nchini! Usiwe unaropoka kama hujui undani wake! Tatizo hapo ni mkataba ulioingiwa! Mturuki kagoma kuleta mabehewa 24 yaliyobaki!
 
Hii mitungi inakaa bank automat na haitumii EC Bank card ina kazi gani? Yaani unaweka all these machines kwa ajili ya ku-print ticket tu? What a wastage of resources!
Mzee si uliambiwa usiniquote? Why are you going against the wish of your fellow countrymen?😂😂🤣
 
Ile ya serengeti kunyan nakumbuka walileta ushoga wao,jamaa wajinga sana
Sawa sawa, halafu sasahivi wanalialia, wanataka tuwafungulie barabara za kaskazini kwa ajili ya mizigo ya Mombasa kwenda Rwanda, Burundi na Congo. Sisi hatutaki, wasituchanganye
 
Back
Top Bottom