Kwani Wakenya wamejenga yao kwa pesa ngapi za ndani? šHivi Kunyaland wana hata GDP ya kujenga kilometers 2 za lami bila mkopo? Sisi tumejenga 60% ya electric SGR kwa pesa zetu za ndani
View attachment 3059598
Kwani Wakenya wamejenga yao kwa pesa ngapi za ndani? šHivi Kunyaland wana hata GDP ya kujenga kilometers 2 za lami bila mkopo? Sisi tumejenga 60% ya electric SGR kwa pesa zetu za ndani
View attachment 3059598
Yeah Tanga port ni karibu kwao wanapita Kilimanjaro Arusha Babati Singida ila lama wangeweka ile barabara ya Serengeti wakati wa Jakaya ingekuwa karibu zaidi.Kuna trucks zenye namba ya rwanda nazionaga barabara ya tanga ila sikujua kama zinatokea tanga port
Hao ndio Magu alikuwa anawapenda.Mzee Kadogosa hajaibuka kama uyoga. Siyo mdogo unavyomdhania.
Mkundustan ambaye hajawai kuona wala ku experience electric train anaongelea negatively ni wivu tuu hakuna kingine.Halafu Mkundustan mnuka tope la Kibera anaongea mengine š
Ila mambo mengine ni aibu aisee....Kisii Kenya
View attachment 3059201
Hawa ni Kutoka Sweden anasema treni yetu ya umeme Service zake ni nzuri kuliko za nchi yake
View: https://youtu.be/98xyCukX8wo?si=h5r72uTqD8K8QQHd
Na anataka tumuaminiššHalafu Mkundustan mnuka tope la Kibera anaongea mengine š
Always nyie Wafuasi wa Magufuli ni brainless ndio maana mnatumia Trilioni 10 kujenga km 722 za Sgr badala ya over 6,000 km za Barabara.šššš
View: https://www.instagram.com/p/C-JBcW1KB0D/?igsh=cHdra3U0aWo4Mmxi
My Take: Yale Yale ya Djibouti-Ethiopia Sgr train.
Kama mungejenga Barabara saizi tungekuwa tunavuna Uchumi tuu maana hizi complications zingekuwa hazipo.
Kwenye uchumi timing na maamuzi sahihi ndio ishu critical , mwisho wa siku Sgr itakuwa Inachukua kodi Ili kuihudumia, upuuzi.
Hata cent ššššKwani Wakenya wamejenga yao kwa pesa ngapi za ndani? š
Mno.Ile hii reli imewauma Sana wakenya š š š
Hapo bado Nyerere Dam ni 100% pesa ya ndani, Kunyaland bila IMF hata kulipa mishahara hawaweziKwani Wakenya wamejenga yao kwa pesa ngapi za ndani? š
Sweden hakuna hii kitu! Yeye mwenyewe anaifeel hii ekspiriens hapa bongo.Just being polite.
Sasa kama hamna anawezaje kusema hii ni bora kuliko ya kwao? Btw hata sijasikilizaSweden hakuna hii kitu! Yeye mwenyewe anaifeel hii ekspiriens hapa bongo.
Kituko Cha Karne hiki š¤Ŗš¤Ŗš¤Ŗš¤ŖHuna akili.
Bandari zetu kwa zaidi ya miaka uliyozaliwa zilikuwa zikiandapafom kwa sababu ya bandari ya Kenya, Mombasa.
Mshindani wetu ni Kenya ambaye ametangulia kujenga reli ya SGR kuunganisha na wateja wetu, Rwanda, Uganda, DRC, Burundi. SGR hata ya diesel inabeba mzigo mkubwa, kwa bei nafuu na kutembea kwa kasi kuliko Malori.
Nani atapitisha mzigo wake ubebwe na Lori kwa charge ya $3,000 kwa contena na kuchukua wiki kufika wakati anaweza pitisha Mombasa na likasafiri kwa $300 na kufika kwa siku moja?
Sasa, kujenga SGR ni swala lazima kwakua mshindani wako tayari amesha ingia huko, kujenga barabara ni ujinga.
Kazi ya fundi Maiko š¤£š¤£š¤£Ila mambo mengine ni aibu aisee....
Nini hiki....no sewage/drainage system, hakuna pedestrian walkways, finishing ipo hovyo sana
Na barabara nyingi kenya hata Nairobi ile expressway..barabara ya chini kuna finishing ya ovyo sana. Mvua ikinyesha matope hadi barabarani, hakuna mitaro, wala sidewalks.....yaan ukilinganisha barabara za BRT Dar hata ile ya kilwa road (ambayo tunaona bado haikujengwa vzr) na zile za Nairobi kuanzia Thika,waiyaki,mombasa road nk ni mbingi na ardhi....halafu mnatamba mna the best infrastracture in East Africa š¤š¤£
Hapo bado Nyerere Dam ni 100% pesa ya ndani, Kunyaland bila IMF hata kulipa mishahara hawawezi
View: https://x.com/BilikwijaT70646/status/1755924307295826395?t=kcG0OkyiNwUZjwSQsgwp4Q&s=19
Ile ya serengeti kunyan nakumbuka walileta ushoga wao,jamaa wajinga sanaYeah Tanga port ni karibu kwao wanapita Kilimanjaro Arusha Babati Singida ila lama wangeweka ile barabara ya Serengeti wakati wa Jakaya ingekuwa karibu zaidi.