Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

View attachment 3059744
Train ya keshokutwa ishajaa
Hiv ni kweli zimejaa? Au ni uhuni kama ule wa kwenye Air Tanzania. Ndege inaonekana imejaa au last seat lakini ukifika ndani unaweza lala kwenye seat 4 peke yako...

TRC wawe makini sana. Watu wanaweza kucheza na mfumo huo. Ili zionekane zimejaa watu wakapande mabasi.....

Haya mawazo yanakuja baada ya kuona mashangilio makubwa treni ilipokwama kwa saa mbili tu....watu walifurahi sana. Inaonyesha wengi hawapendi huu mradi kuwa successful....
 
Wamiliki wa Tanzania, soon wanachukua SGR waendeshe 😂😂😂
IMG_20240802_172650.jpg
 
Hiv ni kweli zimejaa? Au ni uhuni kama ule wa kwenye Air Tanzania. Ndege inaonekana imejaa au last seat lakini ukifika ndani unaweza lala kwenye seat 4 peke yako...

TRC wawe makini sana. Watu wanaweza kucheza na mfumo huo. Ili zionekane zimejaa watu wakapande mabasi.....

Haya mawazo yanakuja baada ya kuona mashangilio makubwa treni ilipokwama kwa saa mbili tu....watu walifurahi sana. Inaonyesha wengi hawapendi huu mradi kuwa successful....
Imejaa kweli hiyo
 
Hiv ni kweli zimejaa? Au ni uhuni kama ule wa kwenye Air Tanzania. Ndege inaonekana imejaa au last seat lakini ukifika ndani unaweza lala kwenye seat 4 peke yako...

TRC wawe makini sana. Watu wanaweza kucheza na mfumo huo. Ili zionekane zimejaa watu wakapande mabasi.....

Haya mawazo yanakuja baada ya kuona mashangilio makubwa treni ilipokwama kwa saa mbili tu....watu walifurahi sana. Inaonyesha wengi hawapendi huu mradi kuwa successful....
Zinajaa mzee na bado abiria wengi wanakosa tickets.
Tickets zinajaa siku mbili kabla.
 
Hiv ni kweli zimejaa? Au ni uhuni kama ule wa kwenye Air Tanzania. Ndege inaonekana imejaa au last seat lakini ukifika ndani unaweza lala kwenye seat 4 peke yako...

TRC wawe makini sana. Watu wanaweza kucheza na mfumo huo. Ili zionekane zimejaa watu wakapande mabasi.....

Haya mawazo yanakuja baada ya kuona mashangilio makubwa treni ilipokwama kwa saa mbili tu....watu walifurahi sana. Inaonyesha wengi hawapendi huu mradi kuwa successful....
Mawazo haya ni ya kipumbavu na kimaskini kama wakenya
 
Back
Top Bottom