buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Sama boy 255 acha kumpa airtime kichaa Teargas kwenye SGR like seriously Tren yetu ya kulinganisha na Fossil.
Kama si kukosea heshima ni nini?
Kama si kukosea heshima ni nini?
SGR yenu ingekuwa profitable mchina angeendelea na ujenzi maana anajenga mwenyewe anakusanya nauli mwenyewe sasa kwanini haendelei na ujenzi kama sio kasanuka na huo mradi kuwa ni white elephant?Siku SGR ya kenya itafika malaba itabeba abiria 2M kwa mwezi.
Kwani ya Tanzania ni profitable?🤣🤣SGR yenu ingekuwa profitable mchina angeendelea na ujenzi maana anajenga mwenyewe anakusanya nauli mwenyewe sasa kwanini haendelei na ujenzi kama sio kasanuka na huo mradi kuwa ni white elephant?
Naona hii propaganda ya eti tumeuza airport na bandari itakuwa iko sponsored na serikali yao kwenye mitandao ya kijamii ili kuwapumbaza na iwe rahisi kuuza airport yao kwa muhindi. 😂😂😂Kabla ya muhindi, alikua mchina hapo, Hutchison whampoa, unawafahamu.....au ulikua unahisi TICTS Iilikua kampuni ya manzese??
Hakuna jipya, kwenye hilo. Nyie focus kwenye kuuza airport yenu Tu kwa sasa kwa muhindi.
Yaa ni profitable ndo maana serikali inajenga zaidi ya kilomita 1500 hadi mipakani mwambie mchina afanye ivo kama hata wachapa makofiKwani ya Tanzania ni profitable?🤣🤣
Ya Tanzania inazalisha faida ndio.Kwani ya Tanzania ni profitable?🤣🤣
Naona unatafuta visingizio.
Tazama eneo lilivyochoka. 🤣 🤣 🤣Only two coaches covered by the canopy. Zingine zote ziko nje, mvua na jua proper🤣🤣😂👇👇
View attachment 3058862
Ebu piga hesabu🤣🤣😂Ya Tanzania inazalisha faida ndio.
Au unataka tukupigie mahesabu??
Poverty🤣🤣😂Tazama eneo lilivyochoka. 🤣 🤣 🤣
Kila safari moja treni inabeba kuanzia abiria 500 kwenda juu.Ebu piga hesabu🤣🤣😂