Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

CAF approved stadium in Africa mukipata any stadium in Kenya munitag plz😁😁😁 wameshindwa hata na Uganda

Ile Azam complex iko hapa 👇👇👇👇

Screenshots_2024-07-13-14-12-41.png
Screenshots_2024-07-13-14-13-11.png
 
Hapo mikocheni wanafanya dual road muda sio mrefu nadhani walikuwa wanasubiri wafanye pamoja na BRT moja kwa moja
Ila wamalizie BRT kipande cha mwenge to Tegeta kwanza.
Wakifanya kwa pamoja tutateseka sana foleni. For now njia ya mikocheni inatusave kupunguza makali ya foleni.
Kipande cha mwenye kikikamilika wakaruhusu private cars kupita BRT huku wakijenga ya mikocheni kutakua na ahueni
 
Ziondolewe main road itabidi tuwe wakweli bara bara zetu hazina category ya matumizi, ilitakiwa barabara moja ina required speed like 90kmh, hiyo barabara isiwe na uchafu wowote, hata Zebra hamna full vivuko, kingo ziwe fenced au kuwa juu, No Bajaji, No bodaboda, Hakuna gari ambayo watu wamekaa nje inaruhusiwa kupita, ukitaka kuingia mtaa wako kuna exit road (Expressway).

Kwa hapa Dar, Morogoro Road, Mandela Road, Samu Nujoma Road, Bagamoyo Road, Kilwa Road, Ile inayopita Magomeni kwenda Ilala Boma, Airport Gomz. Zinakidhi vizuri na zikifanyiwa kazi mbona foleni inapotea as long as Kila makutano kuna kitu kama ubungo Interchage ($200m kweli inatuzuzua kutoa mara 4 INTERCHANGE tu? TAZARA, MOROCCO, MWENGE, MAGOMENI KANISANI) Mbona zinazidi kwenye upigaji?
Hakuna kitu kina kera kama pale mnaposimama junction then bajaj inapenya nakuja kukaa mbele yako
Taa zikiruhusu inatembea 30km/h, magari ya lanes zingine yanatembea 60 na kuendelea
By the time unapata upenyo wa kushift lane mnafika kwenye junction nyingine ikiwa red ilhali kama sio bajaj ungefika hapo ikiwa green. Same goes to bodaboda
 
kwa kweli hapo mimi nakubali ni “mpumbavu” kama dar itakuwa first world city kwa kuondoa boda boda, basi kuna kitu sielewi kuhusu maana ya first world city ni lazima nikiri …
Zinasababisha ajali zisizo za lazima, siku ile bajaj zenye ngao zikikung'olea bamper au bodaboda wakikuvunjia side mirror utaelewa
 
hapana, boda boda hazikupaswa kuruhusiwa in first place, hoja yangu ni kwamba kwa nini tu zizuiwe city center na siyo kila mahali?
Binafsi naona wanakera city centre kuliko sehemu zingine kwakua magari hayakimbii. Kwenye highway kero inapungua maana wanakua na adabu kuhofia kifo. We tembea zako kuanzia saa nne uone bodaboda wanavokua na adabu, wengine wanatembea pembezoni mwa barabara kama baiskeli
Ila city centre ukitembea wanakatishakatisha bila woga
 
Binafsi naona wanakera city centre kuliko sehemu zingine kwakua magari hayakimbii. Kwenye highway kero inapungua maana wanakua na adabu kuhofia kifo. We tembea zako kuanzia saa nne uone bodaboda wanavokua na adabu, wengine wanatembea pembezoni mwa barabara kama baiskeli
Ila city centre ukitembea wanakatishakatisha bila woga
Ombaomba wanakera zaidi.


View: https://www.youtube.com/watch?v=lVDU4M1_2WU
 
Back
Top Bottom