Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Binafsi naona wanakera city centre kuliko sehemu zingine kwakua magari hayakimbii. Kwenye highway kero inapungua maana wanakua na adabu kuhofia kifo. We tembea zako kuanzia saa nne uone bodaboda wanavokua na adabu, wengine wanatembea pembezoni mwa barabara kama baiskeli
Ila city centre ukitembea wanakatishakatisha bila woga
Umenikumbusha bodaboda wa highway za kwenda mikoani, wana adabu balaa. Wanaendesha pembeni kabisa nje ya mstari. Kwasababu wanajua wakileta ujinga watu wanapita nao na hawasimami.
 
Geza Ulole ila mmefikisha huyu mzungu mwisho bradhee. Yani hadi mzungu ameanza kuwakejeli. 🤣 🤣 🤣

Screenshot 2024-07-13 201807.png
Screenshot 2024-07-13 201959.png
 
Huyo tea
Umenikumbusha bodaboda wa highway za kwenda mikoani, wana adabu balaa. Wanaendesha pembeni kabisa nje ya mstari. Kwasababu wanajua wakileta ujinga watu wanapita nao na hawasimami.

Kweli kabisa.. Bodaboda wa mkoani wana adabu na nidhamu ya barabara kweli.. Na hii ni kwa sababu magari huko ya natembea kwa speed inayo eleweka.

Mjini Dar gari hazitembei Sana.. Labda usiku.. Hivyo boda wamezoea na kuchukulia poa kuchomekea chomekea... Mkoani chombo kinakolezwa boda anakaa nje ya chako bila shuruti. Dar inahitajika mkono wa chuma kuweka mambo In order.
 
It’s an accidental slip of the tongue and he rectified it immediately… I know lately he’s under heavy public scrutiny after that awful debate… but this miscall is not one of them…..Trump has same issues too though more vigorous than Biden... it’s called old age…
Acha kutetea ujinga. Anaanguka mara kibao, anapoteza kumbukumbu mara nyingi katikati ya speech na umekiri ni tatizo la old age. Apumzike.
 
Kwa lipi, kwa maandamano ya kudai ugali? Mna mengi sana ya kupanga na kupangua. Anzeni na land reforms kwanza kama mnataka kuona unafuu wa maisha.
Land reforms zetu ziko sawa. Finance bill ilikuwa inaintroduce kama hizo zenu tukakataa. Wenzako wanaombaomba ila hamna ujasiri wa kuandamana.😂😂😂
Screenshot 2024-07-13 201807.png
 
Kwa hivo hao WaNigeria na Wazungu ni sisi? Huu ni wivu.😂😂
Nigerians share your life experience, nyie ni mbuzi wa zizi moja na Wanigeria. Wazungu wanafurahia machafuko Africa na mara nyingi wamekuja huko Kenya kwenye uchaguzi wakitafuta sehemu zenye machafuko bila mafanikio.

Land reforms zetu ziko sawa. Finance bill ilikuwa inaintroduce kama hizo zenu tukakataa. Wenzako wanaombaomba ila hamna ujasiri wa kuandamana.😂😂😂
View attachment 3041676
Huyu anatafuta kontent tu hana jipya, kafeli maisha huko alikotoka. Unafeli vipi ulaya ikiwa hata nyie mkienda kufua chupi mnapata hela mpaka za kutuma nyumbani?
 
M
Nigerians share your life experience, nyie ni mbuzi wa zizi moja na Wanigeria. Wazungu wanafurahia machafuko Africa na mara nyingi wamekuja huko Kenya kwenye uchaguzi wakitafuta sehemu zenye machafuko bila mafanikio.


Huyu anatafuta kontent tu hana jipya, kafeli maisha huko alikotoka. Unafeli vipi ulaya ikiwa hata nyie mkienda kufua chupi mnapata hela mpaka za kutuma nyumbani?

View: https://vm.tiktok.com/ZMrf9ypdv/
 
Umenikumbusha bodaboda wa highway za kwenda mikoani, wana adabu balaa. Wanaendesha pembeni kabisa nje ya mstari. Kwasababu wanajua wakileta ujinga watu wanapita nao na hawasimami.
😀 Wanakua na nidhamu ya hali ya juu
 
Nyie mnapenda tu sifa za kijinga, waves kwa wajinga wenzenu. Mlikuwa mmelala kitambo sana sasa ugumu wa maisha umewaamsha.

Ardhi yote iko mikononi mwa Mama Ngina.
Kati ya vijana 10 wa kitanzania 9 wanamiliki ardhi kati ya vijana 100 wa kunyaland m1 tu ndio anamiliki ardhi,uhaba wa ardhi na jinsi wanavyozaliana ovyo ndio maana kila siku wanacreate new slums
 
Back
Top Bottom