buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Alafu tunaoneana husuda, imagine una mtu kama Dangote mwenye uwezo wa kujenga refinery unamuacha unaenda nje unakumbuka ukiwa ushafungwa na mikataba.Arabs woke up and focused on using their God given natural resources to uplift the standards of their citizens… from Bahrain, Kuwait, UAE, Saudi..and now Egypt etc… sometimes I wonder why can’t Nigeria be on same level with all that black gold they possess…
Ilitakiwa wizara ya mambo ya nje ya Nigeria iwe imejaa watu wa kila aina kufungua milango ya matumizi ya mafuta ya Nigeria nchi za Africa wakianza na ECOWAS, waje huku Africa mdogo mdogo hata kujenga refinery ya mkopo kufunga mikanda kunalipa.
Ila cha ajabu crude oil inaenda nje kuwa refined inarudi ndani hee.
Ngoja na sisi helium tuone itakuaje.