Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 10,412
- 17,697
Hebu rudia kusoma ile reply vzr.
Na solution imetolewa kabisa jinsi kurudisha order kwe city of Dar
walioleta disorder ndiyo leo hii wakwambie wataleta order? bodaboda zililetwa na awamu ya 4 kabla ya hapo pikipiki hazikuruhusiwa kubeba abiria wakapeleka bungeni na kubadilisha sheria wakaruhusu chaos leo hii wakambie wanataka kuleta order? isitoshe sioni rationale ya kuzuia bodaboda kuingia city center huku zikiendelea kuruhusiwa kwingine, kama ni no boda boda basi iwe kila mahali, wazuie bodaboda kubeba abiria nchi nzima …