Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Niletee ushahidi kua lot 3 and 4 and 6 zinajengwa kwa pesa za ndani mm nafunga ACC SASA hvi
Ujenzi unaendelea japo Kwa kusua sua, kipaombele Kwa Sasa ni lot 5 but Kwa kumalizika Kwa lots 2 za Mwanzo kunatoa nafasi Kwa lots zilizosalia.

Ndio.kwsnza mwaka Mpya wa Fedha umeanza unaleta nongwa za kijinga.

Mwisho leta hapa mikopo ya lots hizo unazosema Serikali imechukua pesa nyingi,onyesha hizo pesa 🤣🤣🤣🤣
 
We mwehu fanya hivi kila mradi wako unaomsukumizia mama sifa kasome ulijengwa lini na mkataba ulisainiwa lini ndio uelewe?

Miradi ya Mama tunayoijua aliyoanza Nayo.

1. Kugawa Bandari
2. Kugawa BRT
3. BBT Kilimo
4. Uwanja wa Arusha (Hatuusikii)
5. Samia fund (Za Wanachuo)
6. Double Taxation na Tozo juu
7. Kupeleka kubadili sheria bora zaidi ya Tanzania (Permanent Sovereignty)
8. Ujenzi wa Barabara ambao hauridhishi unasua sua kila kukicha.
9. Mabango Nchi nzima yenye full miradi ya Ngosha
10. Uchawa (kutoangalia masilahi ya nchi bali kusifia tu ujinga)
11. Vipaumbele vya Ovyo (Imagine unanunua Gari la 400 mil) while barabara inayoenda eneo la Matajiri (Kimweri Road, Haile Selassie) ni full mashimo na haifai kuwa mjini).

Kwanza hizo mbili alionesha Serikali haiwezi, Tumeichagua serikali isimamie Rasimali za Nchi sio kuzigawa.

Kitu pekee naweza kumpa kongole ni Kuendeleza miradi iliyoachwa, siwezi kua mnafiki nakubali hapo.

Nawe acha ujinga kuleta vijngo vya wilaya na mikoa wakati ilisiginiwa zamani na aliyepita,

Masoko Nchi nzima
Vituo Vya Afya Nchi nzima
Majengo ya Watumishi nchi nzima.

Usitufanye hatujui aliyesainisha na kupitisha ujenzi. Ilitakiwa useme kugawa vifaa vya matibabu sawa.

Shida yako unadhani mama akifanya vizuri kwenye uongozi tutamkandia?

Kwamba uoneshe hujui kusimamia shughuli za umma alafu tuseme unajua na tukusifie big no.

Even Magufuli tulikereka na Wamachinga.
Umesahau kitu kimoja Tu, mikopo ya kutisha kakakopa pesa nyingi kwa miaka 3 kuliko awamu zote 5 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ujenzi unaendelea japo Kwa kusua sua, kipaombele Kwa Sasa ni lot 5 but Kwa kumalizika Kwa lots 2 za Mwanzo kunatoa nafasi Kwa lots zilizosalia.

Ndio.kwsnza mwaka Mpya wa Fedha umeanza unaleta nongwa za kijinga.

Mwisho leta hapa mikopo ya lots hizo unazosema Serikali imechukua pesa nyingi,onyesha hizo pesa 🤣🤣🤣🤣
Leta ushahidi ujenzi unaendelea tuone pesa katoa kwenye Kodi zetu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Wewe usifkiri watanzania wajinga mzee
 
Mambo yapo wazi unataka kuleta ubishi?

Dah! Niliisaka hii asee shukurani kaka.
 
Leta ushahidi ujenzi unaendelea tuone pesa katoa kwenye Kodi zetu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Wewe usifkiri watanzania wajinga mzee
Umeshindwa kuonesha pesa zilizokopwa Sasa umehamisha goli 🤣🤣🤣🤣🤣

Kwanza elewa Mimi siko interested na mambo ya Sgr since then na sijabadili mtizamo,Sgr ni cosmetic project.

Najibi hapa Kwa sababu tuu unaizushia Serikali ya Mama ,but pamoja na hayo hizo lots ujenzi ulianza japo una SUA sua.👇👇

View: https://youtu.be/4JlUCgIygeA?si=gP6W1565cIt5ju_Y
 
We mwehu fanya hivi kila mradi wako unaomsukumizia mama sifa kasome ulijengwa lini na mkataba ulisainiwa lini ndio uelewe?

Miradi ya Mama tunayoijua aliyoanza Nayo.

1. Kugawa Bandari
2. Kugawa BRT
3. BBT Kilimo
4. Uwanja wa Arusha (Hatuusikii)
5. Samia fund (Za Wanachuo)
6. Double Taxation na Tozo juu
7. Kupeleka kubadili sheria bora zaidi ya Tanzania (Permanent Sovereignty)
8. Ujenzi wa Barabara ambao hauridhishi unasua sua kila kukicha.
9. Mabango Nchi nzima yenye full miradi ya Ngosha
10. Uchawa (kutoangalia masilahi ya nchi bali kusifia tu ujinga)
11. Vipaumbele vya Ovyo (Imagine unanunua Gari la 400 mil) while barabara inayoenda eneo la Matajiri (Kimweri Road, Haile Selassie) ni full mashimo na haifai kuwa mjini).

Kwanza hizo mbili alionesha Serikali haiwezi, Tumeichagua serikali isimamie Rasimali za Nchi sio kuzigawa.

Kitu pekee naweza kumpa kongole ni Kuendeleza miradi iliyoachwa, siwezi kua mnafiki nakubali hapo.

Nawe acha ujinga kuleta vijngo vya wilaya na mikoa wakati ilisiginiwa zamani na aliyepita,

Masoko Nchi nzima
Vituo Vya Afya Nchi nzima
Majengo ya Watumishi nchi nzima.

Usitufanye hatujui aliyesainisha na kupitisha ujenzi. Ilitakiwa useme kugawa vifaa vya matibabu sawa.

Shida yako unadhani mama akifanya vizuri kwenye uongozi tutamkandia?

Kwamba uoneshe hujui kusimamia shughuli za umma alafu tuseme unajua na tukusifie big no.

Even Magufuli tulikereka na Wamachinga.
Hivi wewe kima hapa ndio umeandika nini? 🤣🤣🤣🤣🤣

Usiandike kitu kama ume panic maana unaonekana huna stability ya Akili Wala emotions.

Kama unataka Ligi,tuanze sekta Moja baada ya nyingine,Mkoa mmja baada ya mwingine Ili unioneshe vizuri hicho unachodai kilisainiwa huko nyuma.

Tunaanza na Mbeya
-Mama kaleta mradi wa Bilioni 250
-Barabara Njia 4 zaidi ya Bilioni 150
-Tactic Zaidi ya Bilioni 25
-Kajenga Hospital Mpya za Wilaya Kila Halmashauri


Mambo ni mengi mda ni mchache maana miradi ni ya kumwaga Idadi ya miradi mikubwa inayotekelezwa na Rais Samia mkoani Mbeya

Na wewe eleza Magufuli alifabya kipi Cha maana Mbeya zaidi ya Jengo la Wodi Meta na hakumaliza?
 
Mambo yapo wazi unataka kuleta ubishi?

Kaka alafu nimeona unasema tumeuza. Well let me tell you something, I hope umenotice naongelea Permanent Sovereignty law humu, Ni sheria Magufuli aliipitisha, Like Ardhi yetu, now Rasmali zote za Tanzania haziwezi milikiwa na mwingine for 100% only government has Permanent Sovereignty nazo. so haiwezekani kabisa, hata uuziwe ni bure serikali nyingine itakuja inakutimua na usifanye chochote maana yenyewe ndio mmiliki.

Ndio maana hilo sakata la DP WORLD lilikua la Moto sababu wapuuzi walitaka hiyo sheria Ibadilishwe ili DP WORLD awe na Total Control ya Port, maana port land ni resources ya Nchi it can't be owned by others ndio tuliingia Court na Too much pressure government ikaacha kuibadili ndio ukaona hapo 30yrs, alafu ni Gati sio whole port, kama DP world ana whole port Adan asingepata. Na msimamizi mkuu wa Port ni TPA.

ikiwa tumeuza kama ulivyosema TANGA PORT, MTWARA PORT zingeenda maana Hakuna mtu utamuuzia moja akubali while nyingine zote zinaweza kua alternative incase kiongozi mwingine akija?

BRT nayo haijauzwa unatakiwa uelewe BRT ipo inaservices World Bank loans so Government haipati whole money vizuri, ndio amepewa Wa nje aweke basi zake usije kufa jumla maana madudu mengi.

Ndio maana tunapinga Government haiwezi simamia ipishe maana Magufuli alionesha inawezekana
 
Hivi wewe kima hapa ndio umeandika nini? 🤣🤣🤣🤣🤣

Usiandike kitu kama ume panic maana unaonekana huna stability ya Akili Wala emotions.

Kama unataka Ligi,tuanze sekta Moja baada ya nyingine,Mkoa mmja baada ya mwingine Ili unioneshe vizuri hicho unachodai kilisainiwa huko nyuma.

Tunaanza na Mbeya
-Mama kaleta mradi wa Bilioni 250
-Barabara Njia 4 zaidi ya Bilioni 150
-Tactic Zaidi ya Bilioni 25
-Kajenga Hospital Mpya za Wilaya Kila Halmashauri


Mambo ni mengi mda ni mchache maana miradi ni ya kumwaga Idadi ya miradi mikubwa inayotekelezwa na Rais Samia mkoani Mbeya

Na wewe eleza Magufuli alifabya kipi Cha maana Mbeya zaidi ya Jengo la Wodi Meta na hakumaliza?
Unazingua sana kama mama anajua anachofanya

Vivuko vipo wapi vile vya Kigamboni?
BRT ipo Wapi?
Mikopo yote ya nini ikiwa Madini yanatoa pesa, Mazao yanatoa pesa, Makusanyo kama yooote, Tozo kama zoote?
Why alitaka badili sheria ya permanent sovereignty kama anaipenda au ana nia njema na nchi?

Eti vimradi hata havifiki 1trilion. Tukuletee bei ya miradi ya Mzee baba?
 
Umesahau kitu kimoja Tu, mikopo ya kutisha kakakopa pesa nyingi kwa miaka 3 kuliko awamu zote 5 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umeshindwa kuonesha mikopo ya Sgr umekuja kujifariji huku 🤣🤣🤣🤣🤣

Yaani Mimi hata mungekuwa wajinga buku nikiwa.peke yangu so long as hamna evidence nitawatoa knockout

Tangu lini kukopa kukawa shida? Mikopo inaenda kutumika hewani au Tanzania?

Mwisho ningekuwa Mimi ndio Rais ningekopa mara 2 ya Samia Ili niifungue Nchi hii kiuchumi,majitu mumeoza Akilo Kwa kuishi kwenye joto huko Dar mnadhani Kila sehemu ya Tzn Iko kama huko au?

Kuna wakati niliwahi sema humu jukwaani kwamba Mwendazake alipokea Mikoa haijaunganishwa na Lami na akaondoka Bado Iko vile vile ,Sasa hivi ndio Samia anaunga yote Kwa lami.kwa kutumia pesa za ndani na mikopo.
 
Unazingua sana kama mama anajua anachofanya

Vivuko vipo wapi vile vya Kigamboni?
BRT ipo Wapi?
Mikopo yote ya nini ikiwa Madini yanatoa pesa, Mazao yanatoa pesa, Makusanyo kama yooote, Tozo kama zoote?
Why alitaka badili sheria ya permanent sovereignty kama anaipenda au ana nia njema na nchi?

Eti vimradi hata havifiki 1trilion. Tukuletee bei ya miradi ya Mzee baba?
Kama Madini yanatoa pesa ,hii mikopo ilikuwa ya nini? 🤣🤣🤣🤣👇👇
Screenshot_20240613-140329.jpg
Screenshot_20240613-135946.jpg
Screenshot_20240613-135611.jpg
 
NairobiWalker kama Unavyoona Azam alivyo kwenye vivuko vya Kigamboni. Ndivyo huyo DP World alivyo kule Bandarini ati end of Day TEMESA, TASAC wakiamua Azam Hana chake.

Inshort ni huyu mama ndie kashindwa kazi analeta wengine wafanye kazi yake.

Ndio maana huyu chawa anatukera na ujinga anaopost.
Mlizoea vimemo Kupitisha mizigo bila kulipia kodi si ndio? DP World atakomesha huo upuuzi.

Kama nawakera si mkaandamane na kina Mwambukusi na Machadema au? 😆😆
 
Watanzania wamemchoka na hawamuhitaji huyo Bi’Kirembwe

Wengi wanao mkubali ni Machawa kama nyie mnaokesha usiku,mchana na ata jioni kumsifia ili mpate kiasi chochote cha fedha

Upo kazini kaka Mkubwa wala ata hunishtui kwa hilo,kazi njema ila ipo siku Watanzania tutaamka na kuikataa hiyo CCM wazi wazi
Usiwasingizie Watanzania,jitaje wewe na wajinga wenzako.👇👇

View: https://twitter.com/BakizaHamiss/status/1811652738595320110?t=3IjcnmPUYD1R9pXdGa3Vbg&s=19

Unawezaje Sasa kumchoka anaeleta maendeleo Kwa mfano? Unakuwa unataka nani? Majungu na fitina sio mtaji.

Mwisho chawa ndio nini? Ulitaka tumsifie mama Yako? Kwa kipi alichofanya? 👇👇

View: https://twitter.com/habari_zetu/status/1811655170364674439?t=nOwvYV5wt0gXYRJ2i7_pug&s=19
 
Watanzania wamemchoka na hawamuhitaji huyo Bi’Kirembwe

Wengi wanao mkubali ni Machawa kama nyie mnaokesha usiku,mchana na ata jioni kumsifia ili mpate kiasi chochote cha fedha

Upo kazini kaka Mkubwa wala ata hunishtui kwa hilo,kazi njema ila ipo siku Watanzania tutaamka na kuikataa hiyo CCM wazi wazi
Tanzania ni nchi ya ajabu sukari kilo elf 10 alaf waziri bado Yuko ofisini 🤣🤣🤣🤣🤣 tena Bunge zima linamtetea kabisa
 
Back
Top Bottom