Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ujamaa village.
mbeyars_digital_172043016542716.jpg
 
Ukweli ni kwamba baada ya soil analysis pale arusha findings zimeonesha eneo halifai kwa such a structure, sijui kinatokea kipi


View: https://youtu.be/I7CD5Rsa_ns?si=3L6-vNkvnmKt7HvY

Nimefuatilia hii interview yote,nimeskia Msigwa akizungumzia kuhusu viwanja na miundo mbinu mingine kwaajkli ya Afcon

Uwanja wa Arusha upo (unajengwa) washapata eneo jingine ..
Uwanja wa Dodoma upo (utajengwa)wapo kwenye taratibu za kumpata mkandarasi.

Nimemskia akizungumzia kuhusu kujenga viwanja vitano vya mazoezi hapa Dar. Kwaajili ya Afcon.. Ametaja maenoe yafuatayo:-
1.Leaders club
2.Law school (mawasiliano)
3.Farasi
4.Tigo
5.Gymkhana.
 
Nimeingia tena Kigoma kwa kina Geza Ulole kwa ziara ya Dr. Mpango inayoanza kesho kwa siku 7.
Hii barabara ya kutoka Mwanga roundabout mpk Ujiji hasa kuanzia mataa ya Mawen wamefanya upuuzi sana.. hakuna hata kuturn right katikat ya barabara.. yan mpk ufike mwisho wa barabara ndo unageuka..
Wanajenga pia kutoka Mwanga roundabout kwenda Stendi kuu haina 'turn to right', yan mpk ufike mwisho wa barabara ndo unageuka kulia.. RM wa tanroad Kigoma tuna kazi nae, lazima aliwe kichwa, hata barabara ya Malagaras hadi Uvinza upuuzi mtupu, mradi una miaka 7 sasa

Sikuhiz nimetingwa, speed ya comments humu ziko mbio sana afu mim bado niko nyuma nazifukuzia, naishia kutoa likes tu
VP mpole sana.
Hii barabara ya Malagarasi-Uvinza ilibidi mtu aliwe kichwa

View: https://twitter.com/WizarayaUJ/status/1810315654752530873?t=-7sXdW5IqcH6tuLcXY_m7A&s=19
 
Nimefuatilia hii interview yote,nimeskia Msigwa akizungumzia kuhusu viwanja na miundo mbinu mingine kwaajkli ya Afcon

Uwanja wa Arusha upo (unajengwa) washapata eneo jingine ..
Uwanja wa Dodoma upo (utajengwa)wapo kwenye taratibu za kumpata mkandarasi.

Nimemskia akizungumzia kuhusu kujenga viwanja vitano vya mazoezi hapa Dar. Kwaajili ya Afcon.. Ametaja maenoe yafuatayo:-
1.Leaders club
2.Law school (mawasiliano)
3.Farasi
4.Tigo
5.Gymkhana.
Ni kweli, kwa hiyo hilo eneo lingine ni tofauti na lile la mwanzo, maana yake lazima kuwe na delay kidogo ila kikubwa waongeze kasi
 
Kumbuka ni gazeti la Kenya hilo, kama Tanzania haita host michuano hii manaake hii michuano haitafanyika EA mana Kenya hali yao ni mbaya, nani atataka kwenda Kenya akapigwe bomu? Lkn na sisi pia tunatakiwa tujue kwamba huyu mama amefeli kila kona, anatembelea nyota ya magu, kitu kidogo kama ku host afcon kinamshinda, je SGR angeweza? Hivi ninavyoongea BRT zishamshinda, posta mpk gongo la Mboto hamna kinachoendelea, mm nawaambia watanzania wenzangu kwamba huyu mwanamke hatotupeleka popote, ila kama mtaendekeza usiasa sawa tuishi humo, lkn huyu mwanamke hana anachokijua.
I just made a $100 bet with someone that you will commit suicide before 2027 due to Talanta hosting opening and closing ceremonies/matches …please I beg you not to let me down…. I can even give you ideas.. hugging a transformer is a start …🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom