Capt Richie
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 1,503
- 3,817
Nairobi at Night
Okay chukua dar na Arusha na uziweke pamoja lakni bado quality ni hizi👇Hii hapa barabara ya Tengeru Arusha. View attachment 3036121View attachment 3036124View attachment 3036130wewe kima let's barabara kutoka huko mji wa mashoga, yenye viwango kuzidi hii Reborn Ktb. 🤣🤣🤣 ukipata nakunya kutoka Dar hadi mwanza.
I thought ungekuja comeback na zile barabara zako mbovu. 🤣🤣🤣Okay chukua dar na Arusha na uziweke pamoja lakni bado quality ni hizi👇View attachment 3036181
Wao kila mradi Mzuri Nairobi.Maendeleo tunafanya sisi jirani kazi yake ni kuitangazia dunia kwamba yeye ni zaidi ya Tanzania. 🤣🤣 taifa la wapumbavu sana hawa jamaa. MwanzaView attachment 3036171View attachment 3036172View attachment 3036173busisi bridge Mwanza View attachment 3036178View attachment 3036179View attachment 3036182
Hata hapo Nairobi enyewe kwasasa hakuna mradi, ni longo longo tu walizobakiza. 🤣🤣Wao kila mradi Mzuri Nairobi.
Umepanic, So far Mombasa = Dar + unguja + ArushaI thought ungekuja comeback na zile barabara zako mbovu. 🤣🤣🤣
Kumbe upo hapa kuleta ukatuni.? 🤣🤣 welcomeUmepanic, So far Mombasa = Dar + unguja + Arusha
Already confirmed
View attachment 3036044
Gen Z waendelee tu, Imagine 2027 na kwa kuwa finance Bill imekataliwa itakuaje sasa. May be wasamehewe tu.Hata hapo Nairobi enyewe kwasasa hakuna mradi, ni longo longo tu walizobakiza. 🤣🤣
Bado hujasemaKumbe upo hapa kuleta ukatuni.? 🤣🤣 welcome
Unaleta ukatuni.? 🤣🤣Bado hujasema
UN walichokifanya ni kuwaadhibu wakenya. Maana siku ya kuadhimisha Kiswahili ni 07/07 siku ambayo TANU waliamua kiswahili kuwa Lugha ya kuwaunganisha watu.
Ukatuni ni huu👇😬Unaleta ukatuni.? 🤣🤣
Do you have anything in comparison.? Au unaleta ukatuni ? Nikusaidie kupost barabara za kipuuzi hapo mombasa.? 🤣🤣🤣Ukatuni ni huu👇😬View attachment 3036193
Kumbuka ni gazeti la Kenya hilo, kama Tanzania haita host michuano hii manaake hii michuano haitafanyika EA mana Kenya hali yao ni mbaya, nani atataka kwenda Kenya akapigwe bomu? Lkn na sisi pia tunatakiwa tujue kwamba huyu mama amefeli kila kona, anatembelea nyota ya magu, kitu kidogo kama ku host afcon kinamshinda, je SGR angeweza? Hivi ninavyoongea BRT zishamshinda, posta mpk gongo la Mboto hamna kinachoendelea, mm nawaambia watanzania wenzangu kwamba huyu mwanamke hatotupeleka popote, ila kama mtaendekeza usiasa sawa tuishi humo, lkn huyu mwanamke hana anachokijua.Kama hii ni kweli inabidi TZ tujitoe kwenye kuhost. Opening and Closing Ceremony ndio hosting yenyewe
Render na jengo ni mbingu na ardhi 😂😂