Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeme mkubwa sana huo.
Mwingine unatoka Tabora kwenda Katavia via Sikonge KV 132 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C9JoXhkt-39/?igsh=MW5ncm8xNDczMDhwYg==

View: https://www.instagram.com/reel/C9ISiRlNAEL/?igsh=MTZsZTVmYTVkZjVsdA==

On top of that,njia kubwa nyingine ya Umeme wa msongo wa kv 400 ya Tanzania-Zambia inaendelea na Ujenzi kutoka Iringa-Mbeya-Tunduma-Sumbawanga.

Baadae phase 2 itatoka Sumbawanga -Kidahwe na kuunga na hii kubwa inayotoka Nyakanazi-Kigoma.
 
Hivi unaweza revive kitambo chakavu na outdated? Hapo si atafutwe Mwekezaji mwingine aliye willing kujenga kiwanda kipya au? Teknolojia ya miaka ya 60 unaifufuaje? 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C9HkLknor-R/?igsh=MWdlc3RyZWJyb3c4eQ==

We unajikanyaga kanyaga, naona mnapenda sana wawekezaji asee kiasi kwamba kila kitu kitaenda.

Weka mwekezaji wa ndani mpunguzie utitiri wa Makodi (Mwekezaji wa ndani ili akipata faidi izungukie ndani huku, msaidie kuthibiti export ya matairi, quality izingatiwe) mbona kiwanda kinarudi tu.

Tatizo lenu kugawa gawa alafu hamzingatii wa ndani. Imagine kuna utitiri wa Viwanda vya plastic vya wazawa ila mnampa mchina ekari nyingi kwa $50m aweke kiwandq cha plastic like WTF
 
We unajikanyaga kanyaga, naona mnapenda sana wawekezaji asee kiasi kwamba kila kitu kitaenda.

Weka mwekezaji wa ndani mpunguzie utitiri wa Makodi (Mwekezaji wa ndani ili akipata faidi izungukie ndani huku, msaidie kuthibiti export ya matairi, quality izingatiwe) mbona kiwanda kinarudi tu.

Tatizo lenu kugawa gawa alafu hamzingatii wa ndani. Imagine kuna utitiri wa Viwanda vya plastic vya wazawa ila mnampa mchina ekari nyingi kwa $50m aweke kiwandq cha plastic like WTF
Nimejikanyaga Kwa lipi wewe mbuzi?

Serikali inaposema inatafuta Mwekezaji kwani imesema inataka foreigner?

Serikali haigawi chochote Bali mwenye uwezo ndio anajitokeza mwenyewe kuchangamkia fursa,so acha ujinga.
 
Kiingereza kimekupitia kushoto nn? Hebu soma tena jibu unalouliza limejibiwa!
Halijajibiwa,wanatafuta Mwekezaji wa kufufua na sio kuanzisha kiwanda kipya maana kama ni kiwanda kipya sio lazima kiwepo hapo Arusha kwenye premises za General tyres.
 
Kumbuka ni gazeti la Kenya hilo, kama Tanzania haita host michuano hii manaake hii michuano haitafanyika EA mana Kenya hali yao ni mbaya, nani atataka kwenda Kenya akapigwe bomu? Lkn na sisi pia tunatakiwa tujue kwamba huyu mama amefeli kila kona, anatembelea nyota ya magu, kitu kidogo kama ku host afcon kinamshinda, je SGR angeweza? Hivi ninavyoongea BRT zishamshinda, posta mpk gongo la Mboto hamna kinachoendelea, mm nawaambia watanzania wenzangu kwamba huyu mwanamke hatotupeleka popote, ila kama mtaendekeza usiasa sawa tuishi humo, lkn huyu mwanamke hana anachokijua.
Alafu wapo kukazana eti Anaupiga mwingi. No strategies kukiwa na tatizo la kitaifa.

Nakumbuka Magu alipoingia kodi alitaka kuikusanya. Mikakati ndio hii.

1. EFD na risit vituo vya Mafuta

2. Madini (ACACIA sakata la barrick, Merrerani, Masoko ya Madini)

3. Makampuni (hakuna kutangaza hasara tena, unalipa kodi fresh hata una hasara)

4. Value added kwa products za ndani (Sakata la kusafirisha unga badala ya mahindi kodi inakua nzuri).

5. Bandari kukazia kila siku ili mapato yareflect mizigo kupunguza ujinga (ikiwa iliwezekana kwa mzee why inafeli kwa Bi mkubwa?)


Sakata la Sukari.
1. Mkulanzi Sugar
2. Kumpa Heka za Kutosha Bhakresa na kumsaidia ili kuanzisha Bagamoyo sugar (Now Imezagaa nchi nzima).
3. Crackdown ya wanaoficha sukari.

Upungufu Wa Dola.
1. Crackdown ya wanaoficha dola (Hadi Boss wa Silent ocean kadakwa)
Breau de change. (Kuchekea chekea ndio kunaleta ukuda huu).

2. Kuamuru BOT kununua Dhahabu ili kuback down shilling (Now tunaambiwa ni Mama anaupiga mwingi)

Umeme
1. JNHPP aliona Tanesco vituo vingine vimejaa ujinga kaamua kujenga bwawa ambao umeme mzima unazidi uliopo combined, ili hawa mafisadi baadae wakileta ukuda anaacha kutumia wa vituo vyao 🤣🤣.

2. TANESCO nzima ilijaa watu wa umeme kuanzia waziri hadi chini.

Alafu enzi za Mzee hakuna kuangalia sijui Mchina wala nini kwenye tender yeye ni kuangalia ubora tu na anachopata baadae.

JNHPP tulipata Kongani ya Viwanda ya El Saewedy Electric.

Kikwete anadai alikua anajenga reli akamuachia Magufuli, hapa EA Uganda kaonesha render unaona hamna kitu, Kenya ndio hivyo mnaona. Tz ndio kaweka vitu vya viwango, tuna option 3 za treni, dah. Wengine moja tu.
 
Mkundustan yupo obsessed na Tanzania kama mlevi na mipepesuko

20240703_070424.jpg
 
Nimejikanyaga Kwa lipi wewe mbuzi?

Serikali inaposema inatafuta Mwekezaji kwani imesema inataka foreigner?

Serikali haigawi chochote Bali mwenye uwezo ndio anajitokeza mwenyewe kuchangamkia fursa,so acha ujinga.
So mapato ya Bandari ya mwekezaji yatakua hapa ndani au nje? Unajua implications ikiwa uwekezaji kila siku pesa zinaenda nje hazitulii ndani?

Kuna nchi yoyote iliyopiga hatua na uwekezaji huu wa "Fremu"
 
kino Yves alindwe, no electricity as usual. NairobiWalker 🤣🤣🤣🤣View attachment 3035969
Akiingia Tanzania walisherehekea vile ataionyesha Bongolala kuwa better than the rest of E. Africa lakini mambo yanavyokwenda, atatoka huko kama adui mkubwa wa Bongolala. Yani video zake zinavyoonyesha hata Burundi wana nafuu.🤣🤣
 
Back
Top Bottom