Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ujinga wako ni kudhani biashara ni emotions. Importation na exportation haifanywi juu ya urafiki wa marais bali ni cost and efficiency. Wewe unadhani wafanya biashara wa Uganda ni wajinga waitumie Mombasa wakati kuna a better option hapo Dar? Ukiona Uganda wanatumia Mombasa port kwa asilimia zaidi ya 80 ujue sababu ni that is the most cost effective and efficient route. Chuki hailetwi kwa biashara, hata wewe unavyoichukia Kenya, ungekuwa⁸ mfanya biashara na ugundue utapata ROI nzuri ukiingizia bidhaa Mombasa kuliko Dar utaingizia tu Mombasa. Ama hujui wafanya biashara wengi Kaskazini mwa Tanzakundu wanaingizia mizigo Mombasa? Haujia mlivunja reli ya kutoka Voi hadi Arusha kisa mnapoteza biashara Mombasa lakini wapi? You don't mix business with emotions. 🤣 🤣
Mazungumzo yalishafanyika why leo unilaterally uongeze tozo bila makubalianao au ni tamaa ya kinyangau?
 
Back
Top Bottom