Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umepanic, fungua hii link alafu hag transformer.
Yani kwenye suala la beach Zanzibar na mafia ni Moto WA kuotea mbali, tena mafia island ndio inasifika kwa kuwaona na kucheza nao nyangumi na wakubwa barani africa, weka akilini
 
kino Yves alindwe, no electricity as usual. NairobiWalker 🤣🤣🤣🤣
IMG_20240707_190455.JPG
 
Wakuu kuna kitu nimenotice naomba kujua why?

Kampuni Zilizoanzishwa Tanzania zikawa kubwa nowdays zimehamisha HQ Dubai yaani kama sielewi.

1. Mount Meru (Meru Oil)
2. Primefuel.

Mwenye elimu ya uchumi atusaidie.
Dubai ni Tax Heaven maybe ? Not so sure tho lakini hizi ni sbabau huwa company zinahama.
 
Kwasasa hii battle ya barabara tuifunge, Kwasababu hatuwezi kukubali barabara zetu zenye viwango vya dunia (zote ziko na BRT lanes) halafu ulete vibarabara vyenu moderate all around kenya .? 🤣🤣🤣 it's big NO.
Asikudanganye huyo. Ukishuka kwenye pantoni hapo Mombasa kuna dual carriageway moja inakatiza mjini inazunguka mji mzima na ni safi hapo city centre tu huko kwungine chafu balaa.
 
Back
Top Bottom