Hakuna makazi ya watu pale.Fanyeni bidii muondoe running track makwapa stadium na muvunje mauswazi yalioizinguka.
Nishaonesha kuna ofisi na vyuo.
Endelea kukaza kichwa.
Hakuna makazi ya watu pale.Fanyeni bidii muondoe running track makwapa stadium na muvunje mauswazi yalioizinguka.
Mtu kama amepanic kumjua ni rahisi sana.Reborn Ktb level za Mama Ngina drive ni takataka tu.. cheki level hizi hapa, Unguja 👇ocean drive View attachment 3035875View attachment 3035876View attachment 3035877mean while.. Mama Ngina drive in Mombasa 🤣🤣🤣👇View attachment 3035878View attachment 3035879 Kenyans ni jokers. 🤣🤣🤣 kijamaa kilikua kinajaribu kutaja hiyo takataka kwenye sentence moja na toure drive Dasilinga. 🤣🤣
Unataka kuonekana relevant, lakini unakulq za uso tu.. haya pole. 🤣🤣Mtu kama amepanic kumjua ni rahisi sana.
Kwa hiyo Tzn tuna huo uwanja au hatuna?Huwezi uka host opening and closing match kama uwanja wako sio Olympics standard na pia kama usafiri wa city commuter hauko vizuri. Natumai mmenielewa 😁
Kwa hivyo unadhani camera za afcon zitamilika hizo ofisi ambazo ziko 0 km kutoka kwa uwanja. Unajua aina ngapi za photograghs?Hakuna makazi ya watu pale.
Nishaonesha kuna ofisi na vyuo.
Endelea kukaza kichwa.
Tunabishana ujinga.Kwa hivyo unadhani camera za afcon zitamilika hizo ofisi ambazo ziko 0 km kutoka kwa uwanja. Unajua aina ngapi za photograghs?
Kama za EACOP sio?
View: https://youtu.be/lzep7LXVu8k?si=PIzKMIsxuqcXpKiT
Naona wakina mwathadan na NairobiWalker wanafurahia!
Giant wa beach tourism wa baadae Hawa Jamaa 👇👇
View: https://twitter.com/afristats_polls/status/1809950498910580761?t=fd6Lsk5qb95x2mmzNHhe_Q&s=19
Changanya dar na unguja nimekupa ruksa.Reborn Ktb level za Mama Ngina drive ni takataka tu.. cheki level hizi hapa, Unguja 👇ocean drive View attachment 3035875View attachment 3035876View attachment 3035877mean while.. Mama Ngina drive in Mombasa 🤣🤣🤣👇View attachment 3035878View attachment 3035879 Kenyans ni jokers. 🤣🤣🤣 kijamaa kilikua kinajaribu kutaja hiyo takataka kwenye sentence moja na toure drive Dasilinga. 🤣🤣
Mlima Kilimanjaro upo Kenya au sio?😎Unawazimu, hakuna beach kushinda Diani na watamu ukanda wote wa East Africa.