ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,355
- 88,446
So polisi washajua shida ya wakenya ni njaa hakuna kingine 😂😂😂😂😂Akili za marehemu.
You know little about Mombasa, hii ni dongo kundu bypass ambayo iko 90% complete. Its 25km long, kimara kibaha highway is 19km for comparison..Asikudanganye huyo. Ukishuka kwenye pantoni hapo Mombasa kuna dual carriageway moja inakatiza mjini inazunguka mji mzima na ni safi hapo city centre tu huko kwungine chafu balaa.
Kuna mada niliona kwamba eti Tanzania inaweza pokonywa nafasi ya uwenyeji wa Afcon Kwa sababu za kuchelewa maandalizi wakapewa Rwanda.
Sijui inawezekana vipi ila kama hii taarifa ni kweli CAF wameipa Kundustan fursa hii basi hata Afcon yenyewe haiana manaa tena,Kwa sababu mechi za ufunguzi na fainali ndio za muhimu Kwa kutangaza Nchi. 👇👇
View: https://twitter.com/Kenyans/status/1809834967393808591?t=te_MtvTqaSShv_4Zx0ua3w&s=19
Kauwanja kenyewe Bado kapo kwenye initial stage kelele nyingi.Et already confirmed.Hivi mlipoomba CHAN ilikuwaje msifikiri CAF wamesahau TZ ikijitoa Leo hakuna AFCON East AfricaFor the sake of African image rwanda should replace bongoland.