Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Choose your battles wisely kijana, dar slum haiwezani na mombasa kwenye suala la dual carriageways.
Ngoja leo nikupe moyo.. enhee haya weka hizo dual za Mombasa na useme idadi yake, nitakujibu then nitakuruhusu uchukue Mombasa na Nairobi tufanye hiyo battle. 🤣🤣🤣
 
Ngoja leo nikupe moyo.. enhee haya weka hizo dual za Mombasa na useme idadi yake, nitakujibu then nitakuruhusu uchukue Mombasa na Nairobi tufanye hiyo battle. 🤣🤣🤣
Nakupa mfano:
Dongo kundu phase 1
mombasa-malindi highway U/C
Dongo kundu phase 2 U/C
Changamwe-Mariakani
 
Nakupa mfano:
Dongo kundu phase 1
mombasa-malindi highway U/C
Dongo kundu phase 2 U/C
Changamwe-Mariakani
Kwasasa hii battle ya barabara tuifunge, Kwasababu hatuwezi kukubali barabara zetu zenye viwango vya dunia (zote ziko na BRT lanes) halafu ulete vibarabara vyenu moderate all around kenya .? 🤣🤣🤣 it's big NO.
 
Reborn Ktb level za Mama Ngina drive ni takataka tu.. cheki level hizi hapa, Unguja 👇ocean drive
zanzibar-stonetown-highlight-walking-tour-1661653.jpg
360_F_601323595_Pe9LMorzcHuB2EZoFlQIcRbMbeXWAN4w.jpg
zanzibar-stonetown-highlight-walking-tour-1661653.jpg
mean while.. Mama Ngina drive in Mombasa 🤣🤣🤣👇
pyvyg2mtaja0e6m5c3a3b7b0107a.jpg
Mama_ngina_drive.jpg
Kenyans ni jokers. 🤣🤣🤣 kijamaa kilikua kinajaribu kutaja hiyo takataka kwenye sentence moja na toure drive Dasilinga. 🤣🤣
 
Ugly kwa mujibu wa chuki zako.
Tanzania ina historia ya kuhost mashindano makubwa ya mpira.
Tanzania pia ina uamko wa mpira kuliko Kenya.
Usisahau suala la maandamano limeanza kuwateresha kidiplomasia.
Hii haitasaidia kupokonya Talanta stadium opening and closing matches.
 
Kwasasa hii battle ya barabara tuifunge, Kwasababu hatuwezi kukubali barabara zetu zenye viwango vya dunia (zote ziko na BRT lanes) halafu ulete vibarabara vyenu moderate all around kenya .? 🤣🤣🤣 it's big NO.
Umenusa kipigo na mapema, Mombasa kuna interchanges hazijashuhudiwa Tanzania yote. Nianze ama unaanza?
 
Back
Top Bottom