Naafiki.
Unakuta muuza mitumba anabudget ya TZS 10,000 nyumbani kwake, on the other side kuna mtu kijijini ana heka moja tu, ng'ombe 2, mbuzi 3 na kuku 6. Hapo kwenye heka anavuna ndizi, mboga za majani za kila aina, matunda, mahindi, maharage, n.k ambapo mara nyingi akitoa pesa ni kununua nyama na viungo vya chakula.
Sasa hicho chakula anacholisha familia huyo bush man ukimuuzia muuza mitumba inawezakua zaidi ya 10,000 kwa milo yote ya siku.
Ila nahisi hawa watu wa kijijini wengi ndio wanawakadiria kwamba ndio wanaishi chini ya $1 per day