Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Una shida ya uelewa.
IT ni jambo la kujifunza mashariki ya mbali!?
Nimekuambia tunashindana Korea!?
Shule zinazofundishwa na hao wakorea zipo ngapi!?
Mbona shule yetu ya serikali hatukufundishwa na hao wakorea!?

Mngewaomba wakorea wawafundishe ufanisi wa hata haya mambo matatu;
1)Uendeshaji wa bandari.
2)Uendeshaji wa usafiri wa ardhi na anga.
3)Teknolojia mbali mbali ya viwanda ili muanze kuunda vitu vyenu wenyewe.
4)Teknolojia na ufanisi katika uhandisi wa miundombinu kama madaraja makubwa na barabara.

Angalau hivyo tu,we unaniletea mambo ya IT ya shule yako hivyo vina massive impact kwa taifa!?

Una short sight km mama yako Samia.
Harafu acha utoto,ulimwengu wa Sasa ni WA Sayansi na teknolojia hivyo kupuuza mambo ya

Yaani mtu anakusaidia unataka akusaidie Kila kitu? Acha ujinga.

1.Kwenye Bandari wapo Mwanza na Kigoma kazi inaendelea,lakini pia MoU ya juzi imehusisha ushirikiano zaidi kwenye Bandari.
2.Chuo Cha Usafirishaji pale Dar ni Korea ndio wafadhili Wakuu.
3.Upewe wewe teknolojia ya viwanda Ili wao waishije? Wana Madini kama Tanzania? Hata hivyo wako tayari kuwekeza na ndio maana kwenye ziara ya juzi,Hyundai wamesema watakuja kufanya feasibility ya kuanzisha kiwanda Cha magari(Wako tayari kuwa wawekezaji sio kukupa teknolojia kizembe na zile ambazo wanazitegemea).
4.Wakati wanajenga daraja la Tanzanite kwani walikuwa hawafanyi technology transfer ya Uhandisi wa Ujenzi wa.madaraja? Lakini pia kabla ya huko unaanza darasani ndio maana mnpewa scholarship za Bure,ikiwemo kazi Yako ya Kusafisha vinyeo vya Wagonjwa.

Mwisho Ushirikiano kwenye eneo la Sanaa na michezo ni sehemu tuu ya huo ushirikiano mkubwa,acha shobo za kijinga.
 
Hilo jambo sio geni la kuunda meli,badala yake mngeunda ushirikiano wa kuongeza ujuzi kupitia SONGORO MARINES.
Una uhakika bro!?
Mbona mwaka wa Magufuli wale wachina walikuja kuwafundisha wahandisi wa Tanzania wa reli na wakawaachia Tech!?
Sio kupewa kienyeji rais wenu ni short sighted leader.
Yaani Serikalini iache kuwa na Karakana yake itegemee za kina Songoro?

Mwisho mbona hueleweki,unajibiwa jambo ulilouliza na ambalo hujui harafu unadai sio jambo jipya,hizo ni dalili za kuwa nyumbu 😂😂
 
Harafu acha utoto,ulimwengu wa Sasa ni WA Sayansi na teknolojia hivyo kupuuza mambo ya

Yaani mtu anakusaidia unataka akusaidie Kila kitu? Acha ujinga.

1.Kwenye Bandari wapo Mwanza na Kigoma kazi inaendelea,lakini pia MoU ya juzi imehusisha ushirikiano zaidi kwenye Bandari.
2.Chuo Cha Usafirishaji pale Dar ni Korea ndio wafadhili Wakuu.
3.Upewe wewe teknolojia ya viwanda Ili wao waishije? Wana Madini kama Tanzania? Hata hivyo wako tayari kuwekeza na ndio maana kwenye ziara ya juzi,Hyundai wamesema watakuja kufanya feasibility ya kuanzisha kiwanda Cha magari(Wako tayari kuwa wawekezaji sio kukupa teknolojia kizembe na zile ambazo wanazitegemea).
4.Wakati wanajenga daraja la Tanzanite kwani walikuwa hawafanyi technology transfer ya Uhandisi wa Ujenzi wa.madaraja? Lakini pia kabla ya huko unaanza darasani ndio maana mnpewa scholarship za Bure,ikiwemo kazi Yako ya Kusafisha vinyeo vya Wagonjwa.

Mwisho Ushirikiano kwenye eneo la Sanaa na michezo ni sehemu tuu ya huo ushirikiano mkubwa,acha shobo za kijinga.
Pumba tupu.
Hivi unajua kama Singapore technology yake inatoka China!?
Je China hakuwaza ataishije akili transfer technology kutoka kwake kwenda Singapore,Malaysia na Indonesia!?
Kuhusu hilo daraja tech transfer inatoka wapi ilhali mnasimamiwa ujenzi mwanzo Mwenga!?
Ni tofauti na kipindi cha kuiboresha reli wachina walifundisha wiki moja wakaacha vifaa reli ikatanduliwa na kutandikwa mpya tokea Dar mpaka Tabora na wahandisi wa Tanzania.
Huko bandarini kama mngekuwa serious mngewaleta pale TPA wawape ujuzi kwa muda wa miaka walau mitatu kesha wawache muendeshe wenyewe.
Bandari ushampa DP world.

Chuo umejengewa ila wanaoendesha chuo sio wao bali ni ninyi.
Hata Lugalo military college of health kimejengwa na GERMANY ila walimu na waendeshaji ni jeshi.
Mlitakiwa mfanye recruitment ya hao watu waje katika wizara zenu wawaambukize maarifa kesha waondoke.
Sijui hata unaelewa nachozungumza.
 
Yaani Serikalini iache kuwa na Karakana yake itegemee za kina Songoro?

Mwisho mbona hueleweki,unajibiwa jambo ulilouliza na ambalo hujui harafu unadai sio jambo jipya,hizo ni dalili za kuwa nyumbu 😂😂
Huelewi una shida ya uelewa.
Mtaendelea kufanya assembly za meli mpaka kufa kwenu.
Wenzenu China hufanya subsidiary kwenye sekta binafsi na kuunda ushirika nao na kujenga nchi.
Akili hizo bongo hamuna.
 
Huyu mzungu alindwe manake anatema facts, bongolalas are beggers.
IMG_20240707_142729.JPG
IMG_20240707_142749.JPG
 
Huelewi una shida ya uelewa.
Mtaendelea kufanya assembly za meli mpaka kufa kwenu.
Wenzenu China hufanya subsidiary kwenye sekta binafsi na kuunda ushirika nao na kujenga nchi.
Akili hizo bongo hamuna.
Wewe mjinga, safari Moja huanzisha nyingine hata hiyo assembly ni hatua haikuwepo kabla.
 
Pumba tupu.
Hivi unajua kama Singapore technology yake inatoka China!?
Je China hakuwaza ataishije akili transfer technology kutoka kwake kwenda Singapore,Malaysia na Indonesia!?
Kuhusu hilo daraja tech transfer inatoka wapi ilhali mnasimamiwa ujenzi mwanzo Mwenga!?
Ni tofauti na kipindi cha kuiboresha reli wachina walifundisha wiki moja wakaacha vifaa reli ikatanduliwa na kutandikwa mpya tokea Dar mpaka Tabora na wahandisi wa Tanzania.
Huko bandarini kama mngekuwa serious mngewaleta pale TPA wawape ujuzi kwa muda wa miaka walau mitatu kesha wawache muendeshe wenyewe.
Bandari ushampa DP world.

Chuo umejengewa ila wanaoendesha chuo sio wao bali ni ninyi.
Hata Lugalo military college of health kimejengwa na GERMANY ila walimu na waendeshaji ni jeshi.
Mlitakiwa mfanye recruitment ya hao watu waje katika wizara zenu wawaambukize maarifa kesha waondoke.
Sijui hata unaelewa nachozungumza.
Kumbe unajua teknolological transfer inafanyika ,Sasa unauliza nini?

Pili huko Singapore Wachina walianza kuwekeza ndio wenyeji wakajifunza so hata Kwa njia ya kuwekeza hizo transfer zitakuja under license na utawalipa patent rights.

Kwa hiyo wewe nyumbu elewa Kila kitu kinafanyika sio tuu kwenye nyanja ya Sanaa na burudani inayokutoa povu Bali hata huko kwenye teknolojia adimu,ni Suala la.mda tuu.
 
Kuna mada niliona kwamba eti Tanzania inaweza pokonywa nafasi ya uwenyeji wa Afcon Kwa sababu za kuchelewa maandalizi wakapewa Rwanda.

Sijui inawezekana vipi ila kama hii taarifa ni kweli CAF wameipa Kundustan fursa hii basi hata Afcon yenyewe haiana manaa tena,Kwa sababu mechi za ufunguzi na fainali ndio za muhimu Kwa kutangaza Nchi. 👇👇

View: https://twitter.com/Kenyans/status/1809834967393808591?t=te_MtvTqaSShv_4Zx0ua3w&s=19

Mama anaupiga mwingi Sana 😂😂😂😂

Tuendelee kusifia hatutakiwi kukosoa
 
Kumbe unajua teknolological transfer inafanyika ,Sasa unauliza nini?

Pili huko Singapore Wachina walianza kuwekeza ndio wenyeji wakajifunza so hata Kwa njia ya kuwekeza hizo transfer zitakuja under license na utawalipa patent rights.

Kwa hiyo wewe nyumbu elewa Kila kitu kinafanyika sio tuu kwenye nyanja ya Sanaa na burudani inayokutoa povu Bali hata huko kwenye teknolojia adimu,ni Suala la.mda tuu.
Ilofanyika ni ya China-TZ sio Korea mlipopeleka makalio ya kina Blandina Chagula.
Singapore licha ya Wachina kuwekeza walikua wana recruit maprofesa wa China katika wizara na vyuo vyao,Tz hilo mmefanya lini!?
Tupo hapa,mtabakia kuundiwa vitu mpaka dahari.
Kwani Korea na TZ wana miaka mingapi katika uhusiano wa kidiplomasia!?
Miaka mingi tu.
 
Ilofanyika ni ya China-TZ sio Korea mlipopeleka makalio ya kina Blandina Chagula.
Tupo hapa,mtabakia kuundiwa vitu mpaka dahari.
Kwani Korea na TZ wana miaka mingapi katika uhusiano wa kidiplomasia!?
Miaka mingi tu.
Hata Turkiye wamefanya kwenye Sgr

Hata Barabara ya Tanzanite Wakorea wamefanya hiyo teknology transfer na nimekwambia DIT imekuwa Chuo Cha Umahiri wa kusambaza teknolojia za Ujenzi na related disciplines chini ya ufadhili wa Korea.
 
Hata Turkiye wamefanya kwenye Sgr

Hata Barabara ya Tanzanite Wakorea wamefanya hiyo teknology transfer na nimekwambia DIT imekuwa Chuo Cha Umahiri wa kusambaza teknolojia za Ujenzi na related disciplines chini ya ufadhili wa Korea.
😂😂😂😂😂😂😂😂Aaah wapi we Mie sio mtoto.
SGR kipindi inajengwa waturuki walisimamia mwanzo Mwenga,kuna kipande mlijenga wenyewe pasi na kusimamiwa!?
Wewe daraja la Tanzanite mmejengewa ninyi mkiwa kama vibarua bwana hiyo tech transfer imefanyika saa ngapi!?
Embu taja hiko kipande.
Usikute hata hujui tech transfer hufanywa kivipi.
Hiyo DIT kitu ilichoweza mpaka nikaisifia ni kuunda bajaji za umeme,kubadili gari kutoka kuwa za mafuta kuwa za CNG na kuunda pikipiki za umeme basi.
Uhandisi wa ujenzi ni weupe DIT.
Msingekua mnawaita wachina wawajengee hata flyover fupi ya pale Uhasibu lamamayeee.
 
Back
Top Bottom