Wewe una matatizo,Tanzania inajinasibisha kwenye ushirikiano na Korea Ili ioate ujuzi na mojawapo ya huo ujuzi ni kweli industry ya filamu na sio kutaka kushindana na Korea.
Korea inaisaidia Tanzania kwenye sekta ya IT sio tuu Kwa kujenga Vyuo vya Dodoma, Kigoma,Manyara na DIT Bali pia Kwa kutoa nafasi za mafunzo ya bure kwenye Elimu zikiwemo taaluka za Afya eng Mlonganzila ni mfano pia.
Hiyo ni area Moja tuu lakini ziko nyingi,Mimi shule niliyosoma Wakorea walikuwa wanatufunza Physics na Elimu ya viungo(physical education).
Kwa hiyo nakushangaa kwamba eti kujifunza film industry ya Korea unaona kwako ni tatizo,Hilo ndio tatizo ulilonalo.Tinataja kuwa Bora kwenye filamu hapa Africa kama Nigeria na sio kushindana na Korea.