Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni kweli mkuu ila izo njia za kuongeza pato muhimili wake mkuu ni kodi,
Sio kodi mkuu.
-Kuna bandari kama ikitumika vizuri pesa nyingi,nasikia mapato yameshuka.
-Kuna shirika la reli,ila toka kurudishwa baada ya ubinafsishaji ni upigaji tu.
-Kuna wizara ya madini,biashara kule bado haifanyiki vizuri.
Yani kuna njia nyingi kaka,ila ndio hivyo hiyo serikali ni blunt knife.
 
Kama ni survey watakuwa waki administer questionnaire na kuuliza how much they earn per day mkulma hapati hela kila siku ila matumizi yake yanaweza kuwa quantified na kujua anatumia sh npapi kwa siku na hivyo kuweza kujua income yake per day or per annum.
Sawa, ila ukumbuke sio wote wanafanya kilimo cha biashara, wengine wapo busy kulima na sehemu kubwa inatumika kulisha familia. So, ni vitu vichache sana wananunua mfano viungo vya chakula na pesa wanaipata kwa kuuza maziwa na sehemu ndogo ya walichovuna. Kama barter trade hivi
So, kile walichotumia kulishia familia kutoka shambani sidhani kama kinakua tracked ipasavyo
 

Alafu haiwezekani kuwe na hata nyasi zilizopangiliwa wakijenga BRT maana itapendeza hasa kwenye kingo zinazoteganisha BRT lane na Lane zingine.

1000039323.jpg

1000039325.jpg
1000039324.jpg


Anyway Hii BRT asee TZ hatuna Show mbovu imagine kujenga Dedicated Lane za Bus na Zege tupu. Si mchezo.
 
Kuna njia nyingi za kuongeza pato la serikali tofauti na kodi.
Huyu bimkubwa kwishafeli.
Umeona ee, yaani mimi kila sehemu naona pesa.

1. TTCL pesa zipo nyingi sana sana tena nyingiiii.

Home Internet, TTCL wana miundombinu nchi nzima hadi ndani ndani ambao wengine hawajafika, wakiamua kuunga watu mbona pesa ipo nyingi tu. Kila mwezi serikali ni kujikusanyia pesa.

Kujenga Recreation Areas za kisasa mjini, Parks, rest area za jiji, pesa hiyo yaani hata mia tano tano mbona watapata sana plus litakua jiji la kitalii.

2. BRT ina pesa waweke Luti ya Morroco Mbagala waone, Gongo La Mboto Morroco, Kivukoni Mbagala, Kimara Mbagala. Iwe na usimamizi wa hali yajuu pesa ipo yote.


3. Bandari ina pesa ila hawaoni wakagawa. Wanadhani Magu mjinga kila siku na ruti zake bandarini, hiyo pesa mwekezaji anayochukua Imagine ndio wanachukua?

4. POSTA
Siku hizi parcels na cargos ni nyingi posta wana magari.na vitengea kazi vingi plus office kila sehemu ya nchi wanaweza kuwa the most reliable wakiwa serious na serikali itapata pesa nyingi, wafanye partnership na Air Tanzania Cargo, alafu waende kufungua office China, kingine wawe wanatengeneza packaging za parcel, storage facility.

5. MSD ina pesa naweza sema SADC, EAC MSD ni ya kipekee so ilitakiwa serikali iipe nguvu via Air Tanzania Cargo, POSTA SERVICES alafu tukaingie mkataba na nchi zingine kusambaza na kuwanunulia Dawa, Kustore dawa zao (Sio nchi zote umeme ni stable hapa Africa kwa kuwa tuna umemem wa kumwaga ni muda wa kuwaza kila njia Storage facility ya Dawa ingefaa kwa MSD)

7. TANESCO, mita za kujitegemea kila mtu hasa kwa wapangaji, mbona pesa itaongezeka kwa kua tayari nyumba ishaungwa so ukiweka submita zenye uhakika zaidi, nyumba moja itakuingizia pesa nyingi instead ya kuwaza huu upumbavu wa kukata 2000.

8. CNG matumizi ya vyombo vya moto hata ikiwa changa wanawaza tozo (WTF) badala ya kufanya hivi wajaribu kuweka ruzuki ili vifaa vinunuliwe vingi maana CNG ni yetu hivyo serikali itapata pesa nyingi ikinunuliwa na watu wengi like UMEME na pia itapunguza purchase ya petroleum ambayo itaokoa Dola zinazopotea kufanya shilling iporomoke.

9. Agriculture badala ya kuuza Mahindi kila siku why wasiuze unga na other goods na sio malighafi. Hivyo zao moja pesa maradufu.

10. Ondoa Matozo ya kiwaki kwenye mafuta ili pesa inayotumika sehemu moja ipungue ili volume ya manunuzi (Purchasing Power iwe kubwa sehemu nyingine) ili kodi pia itoke kwingine.

11. Tourism - waache kukalili maisha kila siku ZNZ, SERENGETI, NGOROGORO Tanzania imejaa kila mbunga, Rwanda mbunga yao inayowalipa ni ya Masokwe (Gorilla) ambayo tunayo Gombe na Mahare. Mwanza beaches ziwe za kisasa, waone kama pesa haitakuwepo. Kurundikana sehemu moja kila siku haisaidii.

12. TBS waweke watu wa kueleweka ili bidhaa za Tanzania Quality iwe inacompete na huko majuu na waangalie namna tunaweza pata chata za CE, alafu wapunguze VAT kwa bidhaa inayozalishwa ndani na wazuie bidhaa hiyo hiyo kuagizwa nje, hivyo volume ya mauzo ya viwanda iwe kubwa waanze kupokea pesa ya uhakika.

13. Madini - wafate ile plan za Magufuli zilikua very helpful, sio ukisifiwa unaona eeh!.

Yote yanahitaji kutocheka na mtu yoyote anayeharibu pesa ya serikali anatakiwa asichekewe ndio pesa zote wataziona.

Kila namba hapo nina mengi ya kuelezea ila acha tu iwe hivi, hii nchi ina option nyingi za pesa kila sekta asee.
 
Umeona ee, yaani mimi kila sehemu naona pesa.

1. TTCL pesa zipo nyingi sana sana tena nyingiiii.

Home Internet, TTCL wana miundombinu nchi nzima hadi ndani ndani ambao wengine hawajafika, wakiamua kuunga watu mbona pesa ipo nyingi tu. Kila mwezi serikali ni kujikusanyia pesa.

Kujenga Recreation Areas za kisasa mjini, Parks, rest area za jiji, pesa hiyo yaani hata mia tano tano mbona watapata sana plus litakua jiji la kitalii.

2. BRT ina pesa waweke Luti ya Morroco Mbagala waone, Gongo La Mboto Morroco, Kivukoni Mbagala, Kimara Mbagala. Iwe na usimamizi wa hali yajuu pesa ipo yote.


3. Bandari ina pesa ila hawaoni wakagawa. Wanadhani Magu mjinga kila siku na ruti zake bandarini, hiyo pesa mwekezaji anayochukua Imagine ndio wanachukua?

4. POSTA
Siku hizi parcels na cargos ni nyingi posta wana magari.na vitengea kazi vingi plus office kila sehemu ya nchi wanaweza kuwa the most reliable wakiwa serious na serikali itapata pesa nyingi, wafanye partnership na Air Tanzania Cargo, alafu waende kufungua office China, kingine wawe wanatengeneza packaging za parcel, storage facility.

5. MSD ina pesa naweza sema SADC, EAC MSD ni ya kipekee so ilitakiwa serikali iipe nguvu via Air Tanzania Cargo, POSTA SERVICES alafu tukaingie mkataba na nchi zingine kusambaza na kuwanunulia Dawa, Kustore dawa zao (Sio nchi zote umeme ni stable hapa Africa kwa kuwa tuna umemem wa kumwaga ni muda wa kuwaza kila njia Storage facility ya Dawa ingefaa kwa MSD)

7. TANESCO, mita za kujitegemea kila mtu hasa kwa wapangaji, mbona pesa itaongezeka kwa kua tayari nyumba ishaungwa so ukiweka submita zenye uhakika zaidi, nyumba moja itakuingizia pesa nyingi instead ya kuwaza huu upumbavu wa kukata 2000.

8. CNG matumizi ya vyombo vya moto hata ikiwa changa wanawaza tozo (WTF) badala ya kufanya hivi wajaribu kuweka ruzuki ili vifaa vinunuliwe vingi maana CNG ni yetu hivyo serikali itapata pesa nyingi ikinunuliwa na watu wengi like UMEME na pia itapunguza purchase ya petroleum ambayo itaokoa Dola zinazopotea kufanya shilling iporomoke.

9. Agriculture badala ya kuuza Mahindi kila siku why wasiuze unga na other goods na sio malighafi. Hivyo zao moja pesa maradufu.

10. Ondoa Matozo ya kiwaki kwenye mafuta ili pesa inayotumika sehemu moja ipungue ili volume ya manunuzi (Purchasing Power iwe kubwa sehemu nyingine) ili kodi pia itoke kwingine.

11. Tourism - waache kukalili maisha kila siku ZNZ, SERENGETI, NGOROGORO Tanzania imejaa kila mbunga, Rwanda mbunga yao inayowalipa ni ya Masokwe (Gorilla) ambayo tunayo Gombe na Mahare. Mwanza beaches ziwe za kisasa, waone kama pesa haitakuwepo. Kurundikana sehemu moja kila siku haisaidii.

12. TBS waweke watu wa kueleweka ili bidhaa za Tanzania Quality iwe inacompete na huko majuu na waangalie namna tunaweza pata chata za CE, alafu wapunguze VAT kwa bidhaa inayozalishwa ndani na wazuie bidhaa hiyo hiyo kuagizwa nje, hivyo volume ya mauzo ya viwanda iwe kubwa waanze kupokea pesa ya uhakika.

13. Madini - wafate ile plan za Magufuli zilikua very helpful, sio ukisifiwa unaona eeh!.

Yote yanahitaji kutocheka na mtu yoyote anayeharibu pesa ya serikali anatakiwa asichekewe ndio pesa zote wataziona.

Kila namba hapo nina mengi ya kuelezea ila acha tu iwe hivi, hii nchi ina option nyingi za pesa kila sekta asee.
Nimetoa mifano mengine kule juu kaka.
Ila ndio hivyo hatuna rais mwenye maono.
Nakumbuka Marehemu alisema badala ya TRA kulimbikiza makodi mengi na makubwa mwishowe washindwe kuzipata,kwanini musiweke kodi rafiki zinazolipika na zinazoeleweka?
Yani unategemea kodi ndio ziendeshe nchi kweli!!???
Hapa rais hatuna,kinaiokoa Tanzania ni vile alivyovianzisha Magufuli marehemu.
Nothing else.
 
Sio kodi mkuu.
-Kuna bandari kama ikitumika vizuri pesa nyingi,nasikia mapato yameshuka.
-Kuna shirika la reli,ila toka kurudishwa baada ya ubinafsishaji ni upigaji tu.
-Kuna wizara ya madini,biashara kule bado haufanyiki vizuri.
Yani kuna njia nyingi kaka,ila ndio hivyo hiyo serikali ni blunt knife.
Aliyeonesha uhai wa kupata pesa za ndani na kuzitumia na kutuonesha inawezekana yupo ila ndio kwanza wapo busy eti kufuta Legacy na kutujazia mabango nchi nzima hadi wengine wanakosa space za mabango yao.
 
Aliyeonesha uhai wa kupata pesa za ndani na kuzitumia na kutuonesha inawezekana yupo ila ndio kwanza wapo busy eti kufuta Legacy na kutujazia mabango nchi nzima hadi wengine wanakosa space za mabango yao.
Oya tueleze ukweli.
Watu walikua wakisema Magufuli alikua anapenda kusifiwa ila sidhani kama anamfikia huyu mama.
Magufuli alikua hawekewi mabango kama huyu.
Ila huyu mpemba kila ukipita mabango ni yeye😂😂😂😂😂.
Nguzo za daraja la kigamboni ukipita zote zimejaa picha zake.
Sasa uliza amefanya nini ujibiwe ucheke😂😂😂😂😂.
 
Nimetoa mifano mengine kule juu kaka.
Ila ndio hivyo hatuna rais mwenye maono.
Nakumbuka Marehemu alisema badala ya TRA kulimbikiza makodi mengi na makubwa mwishowe washindwe kuzipata,kwanini musiweke kodi rafiki zinazolipika na zinazoeleweka?
Yani unategemea kodi ndio ziendeshe nchi kweli!!???
Hapa rais hatuna,kinaiokoa Tanzania ni vile alivyovianzisha Magufuli marehemu.
Nothing else.
Umeona, wao wanawaza tozo kazi kujaza mijitu isiyojua inachofanya wataalamu wanapungua.

Wafanyabishara wana sehemu zao, Bunge lina watu wao linalohitaji eti Babutale? Like Seriously kujaza mijitu isiyojua misingi ya Bunge wao wanajua bunge ni kusema ndio kwa Raisi wakati ni mhimili mwingine wa kuokoa nchi dhidi ya Raisi.
 
Oya tueleze ukweli.
Watu walikua wakisema Magufuli alikua anapenda kusifiwa ila sidhani kama anamfikia huyu mama.
Magufuli alikua hawekewi mabango kama huyu.
Ila huyu mpemba kila ukipita mabango ni yeye😂😂😂😂😂.
Nguzo za daraja la kigamboni ukipita zote zimejaa picha zake.
Sasa uliza amefanya nini ujibiwe ucheke😂😂😂😂😂.
Na Magufuli alikataa hataki kusifiwa na Waliokua wanamsifia alikua anawatumbua bila kupepesa macho (Kangi Lugola, Makonda, Mwanri) ndio wakaona hapa kusifia hakusaidiii bali ni kuchapa kazi ndio maana Kalemani hakua na ujinga wa kusifia ni Kazi kazi.
 
Umeona, wao wanawaza tozo kazi kujaza mijitu isiyojua inachofanya wataalamu wanapungua.

Wafanyabishara wana sehemu zao, Bungu lina watu wao linalohitaji eti Babutale? Like Seriously kujaza mijitu isiyojua misingi ya Bunge wao wanajua bunge ni kusema ndio kwa Raisi wakati ni mhimili mwingine wa kuokoa nchi dhidi ya Raisi.
Huwezi kujenga nchi kwa kodi abadan.
Ni kama yanayotokea Kenya tu,unawafanya raia kuwa na maisha magumu kwa malimbikizi ya kodi.
Aya na hizo kodi kuzilipa zinatoka wapi kama sio katika riziki zao!?
Ndio tunarudi kule kule pesa wanayoshika haikidhi mahitaji kwa kuwa na makato mengi.
 
Huwezi kujenga nchi kwa kodi abadan.
Ni kama yanayotokea Kenya tu,unawafanya raia kuwa na maisha magumu kwa malimbikizi ya kodi.
Aya na hizo kodi kuzilipa zinatoka wapi kama sio katika riziki zao!?
Ndio tunarudi kule kule pesa wanayoshika haikidhi mahitaji kwa kuwa na makato mengi.
Makonda enzi za mzee alikua kama hawa Nape, January, Mwigilu tena zaidi, ila mzee aliweka katazo wazi wazi watumishi kuchukua form wakati wapo wanawatumikia wanachi, Konda kajikuta hashikiki kaenda huyo.

Huo ndio msimamo sasa. Now nchi ilipata vitu vingi inavyomiliki full kwa misimamo mikali ya mzee. Now wanawaza kugawa na kupindisha Sheria bora zaidi ya nchi (Permanent Sovereignty).
 
Huwezi kujenga nchi kwa kodi abadan.
Ni kama yanayotokea Kenya tu,unawafanya raia kuwa na maisha magumu kwa malimbikizi ya kodi.
Aya na hizo kodi kuzilipa zinatoka wapi kama sio katika riziki zao!?
Ndio tunarudi kule kule pesa wanayoshika haikidhi mahitaji kwa kuwa na makato mengi.
Kabisa sema Tz options nyingi ndio zinatuokoa, otherwise sisi tungekua hatuchekani.
 
Back
Top Bottom