Mpaka 2027 kila kitu kitakuwa tayari.sasa wahakikishe SGR na airport vimekamilika pia!
Mpaka 2027 kila kitu kitakuwa tayari.sasa wahakikishe SGR na airport vimekamilika pia!
Kwenye hii dozi tuna combination nyingi sana hadi raha.Zipo Germany zaidi ya 20 naaa! Zinamaliziwa matengenezo mzigo ushuke! Dozi bado pana ipo ya nguvu kwa Nyang'au!
Mwekezaji chizi tuu asiyefanya due diligence ndio ataweza kuwekeza Kenya nchi yenye ukabila na amani ndogo, gharama kubwa za umeme, corrupt leaders, sera mbovu na mwisho lakini sio kwa umuhimu esjiara ya mkaa to nowhere 😁Jirani roho itamuuma maana atashindwa ku-claim gari za Japan hutoka Mombasa!
Kunyan wakubali tu matokeo,tumewaacha mbali sanaNo moshi at all, alafu huyo mbwa analeta picha eti bichwa la ng'ombe halitoi moshi, uliona wapi? Picha imepigwa bichwa likiwa limesimama eti "halitoi moshi" tubaki humu 👇 👇 🤣 🤣 🤣 View attachment 3034391
Bila shaka Injector pump na piston rings zitakuwa zimechoka 🤣🤣🤣No moshi at all, alafu huyo mbwa analeta picha eti bichwa la ng'ombe halitoi moshi, uliona wapi? Picha imepigwa bichwa likiwa limesimama eti "halitoi moshi" tubaki humu 👇 👇 🤣 🤣 🤣 View attachment 3034391
Hata saa mbovu kuna wakati husema ukweli
Vurugu za Kenya zimetunufaisha sn, now investors wote wanakuja Tanzania, Kenya watakuwa wanalazimika ku import from us, maisha yanaenda kasi sn aisee.Mwekezaji chizi tuu asiyefanya due diligence ndio ataweza kuwekeza Kenya nchi yenye ukabila na amani ndogo, gharama kubwa za umeme, corrupt leaders, sera mbovu na mwisho lakini sio kwa umuhimu esjiara ya mkaa to nowhere 😁
Halafu baada ya hio renovation bado unakuwa uwanja wa CCM?
Gen Z ya CCM 😂😂😂🤣 🤣 🤣
![]()
Nini kumekuchekesha?🤣 🤣 🤣
![]()
Vikaragosi wa Samia walivyochoka.Nini kumekuchekesha?
Cheki viatu 🤣 🤣Gen Z ya CCM 😂😂😂
Huoni kuwa hao wameshiba🤣 🤣 🤣
![]()