Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sawa, ila ukumbuke sio wote wanafanya kilimo cha biashara, wengine wapo busy kulima na sehemu kubwa inatumika kulisha familia. So, ni vitu vichache sana wananunua mfano viungo vya chakula na pesa wanaipata kwa kuuza maziwa na sehemu ndogo ya walichovuna. Kama barter trade hivi
So, kile walichotumia kulishia familia kutoka shambani sidhani kama kinakua tracked ipasavyo
Ni kweli kinahitajika kipimo kingine kizuri
 
Another one from masters
1000050557.jpg
1000050558.jpg
 
Wakati kunya wako 500k per year 🤣🤣🤣

Kama Dar-moro wako 40k na mwezi haujaisha bado, hata kama ikibaki hapo hapo at 40k bado kwa mwaka ni 480k
Una uhakika gani kama hawatoongezeka!?
Kumbuka wakati wanafika 20k per week kuna ambao walikosa safari kwa treni kujaa.
Inamaana kama treni zingekuwa zaidi ya mbili na safari zingezidi ingekua zaidi ya hiyo.
 
Back
Top Bottom