Capt Richie
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 1,503
- 3,817
Another dual carriageway in Mombasa taking shape.
Mbona sehemu kubwa hakuna majengo!!??Eti Dar es Salaam can compete Nairobi. Vichekesho. See that view of Nairobi from top 88 Tower.
View attachment 3034850View attachment 3034851View attachment 3034852
View attachment 3034853
Bado mna nafasi kubwa ya kujenga aisee, eneo kubwa la CBD lipo empty, maghorofa mmeyarundika sehemu moja tu ili kutengeneza sky line.
Empty as usual 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Upperhill Nairobi Kenya
View attachment 3034867
Alooo, mbn unajipiga own goal 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View of Westlands from Upperhill Nairobi
View attachment 3034869
Mbn upo vile vile tu mzee, huu uwanja ni wa kizamani lkn pia hata aliye design alikosea sn, aliujenga kwa mtindo wa Ngoma 🥁 so hauwezi kupendeza hata iweje mkuu, sio kwa ubaya lkn 🙏Kasarani taking shape. Look at the environs and compare to Makwapa!!! I believe Makwapa will ashame EA with its sprawling dream houses
View attachment 3034875View attachment 3034876
Kwnn nyie wakenya huwa mnapenda sana jua kali works?Another dual carriageway in Mombasa taking shape.
View attachment 3034878
Kwa style hii kina Pacome, Aziz Ki, Fuentes n.k mtawasikia kwenye bomba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kisii is upgrading its stadium to be used by Shabana Fc as their home ground.
View attachment 3034880View attachment 3034881
Alafu mnasubiri CAF na FIFA waje ku approve viwanja vyenu, mtasubiri sana wallahi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Siaya Stadium taking shape.
View attachment 3034884
Habari zenu asbh njema 😂😂
View: https://x.com/K24Tv/status/1809446716493447277?t=1JOD7fg2klhATX1lwWLSLQ&s=19
👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣Gor Mahia itashiriki CECAFA, confirmed, watakuja kucheza na timu dhaifu za Tanzania na nyingine za EA, Yanga, Simba na Azam hazitoshiriki kutokana na ratiba kuwabana, wamepewa mialiko nje ya nchi, mfano Yanga imealikwa na Kaizer chiefs kutoka South Africa, pia imealikwa na waziri wa Kenya kwenda kuzindua uwanja wa kisumu japo sidhani kama itapata nafasi ya kwenda Kenya mana pia ina mualiko na timu fulani ya Ulaya, football nation 🇹🇿 🇹🇿 ❤️ ❤️ 😘 😘 😍 😍 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
Eti tunawategemea wakati mpo barabarani kuzuia bei ya unga wa ugali isiwe juu (Like serious nchi ya GDP kubwa inalilia ugali). Anyway yanaongezwa kwenda Zambia, DRC, Malawi, WFP ndio mtajua hamjui.Mnatutegemea sana.
Acha kujificha huku dogo, mshaharibi nchi na Maandamano uchwara.Kenyans wakikohoa tu, all Afrika is in panic!! Ona sasa Nigeria!!! Suluhu wanahangaika, Museveni Is trembling, South Africans are worried.
View attachment 3034843