Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona unahangaika sana? Treni yetu inaenda 160kph kwetu sisi ni fastest. Hizo za UK nyingi ni 120mph kama 200kph tu kwa Europe not fastest. Na wewe pia unalinganisha UK na Tz leo? Mjadala wa treni kati ya Tz na Ke ushaisha. Pumba na mchele zishajitenga.
Jamma unconsciously amesha tu upgrade, sisi level yetu ni UK. Ila kusema ukweli hata Marekani haya makitu hakuna.
 
Mbona unahangaika sana? Treni yetu inaenda 160kph kwetu sisi ni fastest. Hizo za UK nyingi ni 120mph kama 200kph tu kwa Europe not fastest. Na wewe pia unalinganisha UK na Tz leo? Mjadala wa treni kati ya Tz na Ke ushaisha. Pumba na mchele zishajitenga.
Za sasa hivi hizi zinazofanya safari zina uwezo wa kufika max speed ya 180kph.
Maana safari moja ilitembea na kufika speed ya 174kph.
Za EMU zitakua na uwezo wa max speed ya 200kph.
20km zimeongezeka zaidi.
 
Jamma unconsciously amesha tu upgrade, sisi level yetu ni UK. Ila kusema ukweli hata Marekani haya makitu hakuna.
Kuna siku nilikuwa na rafiki yangu Zimbamwean likapita London bus yale marefu wanaita bendy bus(Kama mwendokasi haya marefu yameungwa katikati) nikamwambia haya mabasi yalikuwa Tz wakati niko shule ya msingi nilikuwa napanda, jamaa alikataa akaniambia ni uwongo, mnakumbuka Ikarus miaka ya 1980 na mwanzoni mwa 1990s? Ndio kama haya mwendokasi tuliyoa nayo sasa hivi.
 
Kuna siku nilikuwa na rafiki yangu Zimbamwean likapita London bus yale marefu wanaita bendy bus(Kama mwendokasi haya marefu yameungwa katikati) nikamwambia haya mabasi yalikuwa Tz wakati niko shule ya msingi nilikuwa napanda, jamaa alikataa akaniambia ni uwongo, mnakumbuka Ikarus miaka ya 1980 na mwanzoni mwa 1990s? Ndio kama haya mwendokasi tuliyoa nayo sasa hivi.
Nimepanda kumba kumba nikiwa mdogo, zilikuwa zina very smooth ride. Nilikuwa naliogopa lile duara kati wakati likikata kona.
 
Kama mambele hivi yaani🇹🇿🇹🇿🇹🇿🖐️

View attachment 3033112
Kama Ulaya mwanangu ❤️ ❤️ 😘 😘 😍 😍 🇹🇿 🇹🇿 🔥 🔥 👉 🇰🇪 👉 💩 💩 💩 🚮 🗑️
Screenshot_20240704-122130~2.png

Kuna masenge kutoka North bado yatakuambia kuna mzungu kasema Nairobi ipo juu ya Dar, Tanzanians be like 👇👇🤣🤣🤣
Screenshot_20240619-144300~2.png
 
Kama Ulaya mwanangu ❤️ ❤️ 😘 😘 😍 😍 🇹🇿 🇹🇿 🔥 🔥 👉 🇰🇪 👉 💩 💩 💩 🚮 🗑️
View attachment 3033209
Kuna masenge kutoka North bado yatakuambia kuna mzungu kasema Nairobi ipo juu ya Dar, Tanzanians be like 👇👇🤣🤣🤣View attachment 3033212
Nasubiri ya Dodoma, nina trip ya Dom mwisho wa mwezi huu. Nitachafua humu kwa picha.
 
Mbona unahangaika sana? Treni yetu inaenda 160kph kwetu sisi ni fastest. Hizo za UK nyingi ni 120mph kama 200kph tu kwa Europe not fastest. Na wewe pia unalinganisha UK na Tz leo? Mjadala wa treni kati ya Tz na Ke ushaisha. Pumba na mchele zishajitenga.
Upande mmoja unasema mna fastest train na unaanza kulinganisha ticket price na UK upande wa pili unashika mori ukiambiwa hio sio speed train kwa sababu ya max speed ya 160.
Unaniambia na linganisha Tz na Uk 😁
 
Wiki ya kwanza ni ya testing, kwa hivo abiria sio wengi. Wiki ya pili ndio sasa treni inaanza kazi visawasawa, abiria wanaongezeka. Siwezi shangaa kama wiki ya pili Kenya ilikuwa na abiria wengi kuliko hiyo ya Tz.
Lete evidence, mana tunachojua ni kwamba wiki ya kwanza the mtumbaz a.k.a kuni moshi locomotive ilibeba only 7k pax lkn modern electrified train za Tz zilibeba more than 40k pax, sasa leta ushahidi to dispute my details.
 
Wakati mwingine nawaza Magu angekuwepo, kwa ile kasi yake tungekuwa wapi sasa, maana order ya hizi zinazokuja sasa, alizifanya yeye toka 2020. Wakati huo kuna order za ndege, bwawa, madaraja, sijui masoko, barabara...dah acheni aisee. Unaweza kudhani ni hadithi za alinacha.
Dah bro hadithi za magu tuziache tu mana zinaumiza wazalendo wengi, cha msingi tukubali kwamba mwamba kwa sasa hatupo naye ila katuachia urithi mkubwa sn, alijitoa kwa ajili ya nchi yake na leo tunaona alichokuwa anakitamani japo sio kwa 100% lkn tushukuru kwa hiki kdg alichotuachia, yule hakuwa binadamu wa kawaida, level za Nyerere yule, sema tulishindwa kumlinda.
 
Upande mmoja unasema mna fastest train na unaanza kulinganisha ticket price na UK upande wa pili unashika mori ukiambiwa hio sio speed train kwa sababu ya max speed ya 160.
Unaniambia na linganisha Tz na Uk 😁
Max speed ni 180kph.
Ingekua max speed ni 160kph isingetembea speed ya 174kph moja kati ya safari zake.
 
Upande mmoja unasema mna fastest train na unaanza kulinganisha ticket price na UK upande wa pili unashika mori ukiambiwa hio sio speed train kwa sababu ya max speed ya 160.
Unaniambia na linganisha Tz na Uk 😁
Kijana umekunywa chai? Hueleweki. Weka hii kichwani. Treni ya Tz inaenda 160kph aidha ni slow au fast tunaachia nyie. Ni ya kisasa yaani world class popote pale duniani ni treni nzuri, kama umewahi kutembea duniani utanielewa. Mwisho nakufahamisha mjadala wa treni kati ya Tz na Ke ushaisha. Pumba na mchele zishajitenga. Tuendelee kujadili apartments ndefu za Nairobi.
 
kuna kitu kinaitwa average speed na ni 160, meaning inapanda na kushuka
Mie nimezungumzia maximum speed ya chombo.
Reli hii ilikuwa designed iwe na uwezo wa kuhimili speed ya 160 ila majaribio yalipofanyika imeonekana ina uwezo wa kuhimili speed zaidi ya 160.
 
Back
Top Bottom