RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,879
- 129,898
Mbona unahangaika sana? Treni yetu inaenda 160kph kwetu sisi ni fastest. Hizo za UK nyingi ni 120mph kama 200kph tu kwa Europe not fastest. Na wewe pia unalinganisha UK na Tz leo? Mjadala wa treni kati ya Tz na Ke ushaisha. Pumba na mchele zishajitenga.