Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umehesabu na safari za bure zilizolipwa na suluhu.
Safari ya bure ilikua moja tu ya kwenda Morogoro.
Hakukuwa na safari ingine ya bure.
Hivi unajua kuna mamia ya watu tulikwama kusafiri wiki ilopita kwa kukosa nafasi!?
Jiulize kama treni zingekuwa mbili zinafanya safari hivi ingekua wamesafiri watu wangapi!?
Ingekua zaidi ya 40k.
 
Na ajue kuna malalamiko mengi ya treni kujaa kutoka kwa abiria wanapokata tiketi na kuambiwa zimeisha! Hapo route ya Dodoma haijaanza!
Mkuu mimi wiki ilopita nilowaambia niko Morogoro nitaipanda niwarushie picha.
Nilikata tiketi ya saa 1:30 usiku nikawasili kituoni Mkundi ili kuprint out naambiwa TRENI IMEJAA labda upande ya kesho jioni au kesho kutwa asubuhi.
Jiulize kungekuwa kuna treni mbili ingekuaje!?
Nikarudi bhana maana nilitaka niende then nigeuze kesho asubuhi mapema kuendelea na shughuli Morogoro.
Nikabaki.
 
🤣🤣🤣🤣🤣

20240704_100741.jpg
 
Back
Top Bottom