Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kijana umekunywa chai? Hueleweki. Weka hii kichwani. Treni ya Tz inaenda 160kph aidha ni slow au fast tunaachia nyie. Ni ya kisasa yaani world class popote pale duniani ni treni nzuri, kama umewahi kutembea duniani utanielewa. Mwisho nakufahamisha mjadala wa treni kati ya Tz na Ke ushaisha. Pumba na mchele zishajitenga. Tuendelee kujadili apartments ndefu za Nairobi.
So by world class you mean electric ama? kwa sababu sioni kitu kingine peculiar na sgr ya Tanzania vis a vis kenya.

Need i remind you tulijenga sgr the same time na Ethiopia na wakati huo the script ilikua hii hii ya electric.

Fast forward today hype ziliisha licha ya kwamba Ethiopia ina uchumi mkubwa kuliko Tanzania.

Unajua mpaka sasa sijachukulia serious Sgr yenu manake naijua tanzania haina ubavu interms of metric tonnes na passengers.
 
So by world class you mean electric ama? kwa sababu sioni kitu kingine peculiar na sgr ya Tanzania vis a vis kenya.

Need i remind you tulijenga sgr the same time na Ethiopia na wakati huo the script ilikua hii hii ya electric.

Fast forward today hype ziliisha licha ya kwamba Ethiopia ina uchumi mkubwa kuliko Tanzania.

Unajua mpaka sasa sijachukulia serious Sgr yenu manake naijua tanzania haina ubavu interms of metric tonnes na passengers.
Ethiopia ni hyped failed state.
Mambo mengi Ethiopia yanakwama,pia Ethiopia wana light trains sio kama hizi za kwetu.
Passengers washaanza kuonesha muitiko,tena wale wengine walokua wanajazana katika MGR watapungua kuja SGR
Kwenye mizigo time will tell,just chill bro usiwe na kitete.
 
So by world class you mean electric ama? kwa sababu sioni kitu kingine peculiar na sgr ya Tanzania vis a vis kenya.

Need i remind you tulijenga sgr the same time na Ethiopia na wakati huo the script ilikua hii hii ya electric.

Fast forward today hype ziliisha licha ya kwamba Ethiopia ina uchumi mkubwa kuliko Tanzania.

Unajua mpaka sasa sijachukulia serious Sgr yenu manake naijua tanzania haina ubavu interms of metric tonnes na passengers.
Bla bla bla bla bla bla.......IT'S OVER kwa sauti ya VINCE CARTER.
 
Mie nimezungumzia maximum speed ya chombo.
Reli hii ilikuwa designed iwe na uwezo wa kuhimili speed ya 160 ila majaribio yalipofanyika imeonekana ina uwezo wa kuhimili speed zaidi ya 160.
Madaraka express ya kenya inaweza kwenda beyond 120kph na ushahidi upo YouTube lakini hio sio official intended speed.
 
Madaraka express ya kenya inaweza kwenda beyond 120kph na ushahidi upo YouTube lakini hio sio official intended speed.
😂😂😂😂😂😂Tutajie max speed ya Madaraka Express.
Maana sisi katika majaribio walianza na 150,wakaja 166,wakaja 174.
Na sasa speed inayotumika kukimbizana na muda licha ya kusimama vituo njiani ni 165-170+kph.
Tuletee max speed ya Madaraka express bro.
 
Kuna mahali hapo kati tulipotea njia. Inasikitisha sana.
Hili la viongozi wetu ni moja ila kuna nguvu kubwa sana kutoka nje inayoturudisha nyuma (viongozi wetu huwa hawasemi tuu).

Kwenye soko la mazao ya biashara, walikuwa wanashusha bei ya kimataifa, wanapoona tutapata faida msimu wa mavuno huku wakituongezea gharama za pembejeo. Nchi tunazozisifu leo kama South korea, walikuwa wanawapa masoko ya bidhaa zao kwa bei nzuri ili kupiga propaganda, huku sisi wakituwekea kauzibe.

Tutafika tuu lakini, nchi zilizoundwa kwa misingi ya ukweli zitaonekana na zile zilizojengwa kwa mabua (kama Kenya), nadhani tumeshaanza kuona matokeo yake.
 
Ethiopia ni hyped failed state.
Mambo mengi Ethiopia yanakwama,pia Ethiopia wana light trains sio kama hizi za kwetu.
Passengers washaanza kuonesha muitiko,tena wale wengine walokua wanajazana katika MGR watapungua kuja SGR
Kwenye mizigo time will tell,just chill bro usiwe na kitete.
Hakuna metric yeyote Tanzania inaweza ishinda Ethiopia.
 
😂😂😂😂😂😂Tutajie max speed ya Madaraka Express.
Maana sisi katika majaribio walianza na 150,wakaja 166,wakaja 174.
Na sasa speed inayotumika kukimbizana na muda licha ya kusimama vituo njiani ni 165-170+kph.
Tuletee max speed ya Madaraka express bro.
Inaweza fika hata 200kph, ingia youtube tafuta video jamaa anakwenda na 120 lakini bado mtambo wa diesel unamuacha.
Hizo ni unofficial speed, wenzako wamekubali 160 wewe unahisi ukikubali basi itakuwa mmeshindwa,endelea kusukuma agenda 😂😂
 
Ya passengers au mizigo!?
😂😂😂😂😂😂😂😂.
Bro hebu acha utani basi.
Mizigo ya Ethiopia inayosafirishwa kutoka Djibouti ni mara mbili ya mizigo inayoshushwa dar es salaam.

Kibaya zaidi your economic capital ni hapo hapo dar

Hii hype ya Tanzania itakufa mbio sana kwahivyo tumieni huu muda vizuri kusambaza propaganda zenu.
 
Mizigo ya Ethiopia inayosafirishwa kutoka Djibouti ni mara mbili ya mizigo inayoshushwa dar es salaam.

Kibaya zaidi your economic capital ni hapo hapo dar

Hii hype ya Tanzania itakufa mbio sana kwahivyo tumieni huu muda vizuri kusambaza propaganda zenu.
Tuko hapa muda utaongea.
Wala hatusemi sana.
 
Inaweza fika hata 200kph, ingia youtube tafuta video jamaa anakwenda na 120 lakini bado mtambo wa diesel unamuacha.
Hizo ni unofficial speed, wenzako wamekubali 160 wewe unahisi ukikubali basi itakuwa mmeshindwa,endelea kusukuma agenda 😂😂
Niliona ile video.
Haikuzidi wala kufika hata 140kph.
@Teargrass aliiposti sana.
Mimi siongei propaganda naongea uhalisia TZ reli iliundwa kuhimili 160 ila katika majaribio imeonekana inahimili zaidi ya 160.
Nidanganye ili iweje!?
Piga wewe mahesabu kama ingekua inatembea 160 kama 160 unadhani ingetumia 90 minutes kufika Morogoro na kusimama vituo vyote hivyo njiani!?
Aya endelea kusema propaganda.
 
Kijana umekunywa chai? Hueleweki. Weka hii kichwani. Treni ya Tz inaenda 160kph aidha ni slow au fast tunaachia nyie. Ni ya kisasa yaani world class popote pale duniani ni treni nzuri, kama umewahi kutembea duniani utanielewa. Mwisho nakufahamisha mjadala wa treni kati ya Tz na Ke ushaisha. Pumba na mchele zishajitenga. Tuendelee kujadili apartments ndefu za Nairobi.
Tumalizie na hii 👇👇
Screenshot_20240624-211824~2.png
 
Back
Top Bottom